Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,515
Habari wakuu,
Kuna single mama mmoja alikuwa na mahusiano na mtoto wa kishua.
Akajiachia mwenyewe, sijui kutegesha mimba ikaingia ili aolewe .
Kama ilivyo kuzaa sio kuolewa yule mtoto wa kishua akamtolea nje.
Mtoto wa kishua akaenda akaoa mwanamke mwingine.
Single mama ikawa ndiyo basi tena akajifungua mtoto wake.
Upande wa mtoto wa kiume wa kishua yeye hana kazi kubwa ni dereva tu.
Akamwambia Mimi nitamsomesha mtoto kwenye shule nliyo na uwezo nayo na matumizi ya mtoto nitakupa.
Haya mtoto wa kishua aliyafanya baada ya kuridhiana na mkewe.
Sasa single mama yeye anaangalia uwezo wa familia ya kishua ya mwanaume anataka mtoto wa kishua ampe matumizi makubwa wakati hana uwezo huo.
Single mama akaanzisha vitimbwi, mara aongee na wazazi wa mtoto wa kishua.
Mwanzo wazazi walikuwa wanamsikiliza kwakuwa mtoto ni damu yao.
Mbaya zaidi single mama akawatukana wale wazazi wa mtoto wa kishua.
Hapa ndio ikawa mwisho wa mawasiliano kati ya single mama na wazazi hao.
Hakuishia hapo mara atoe vitisho kuwa atamloga mtoto wa kishua...
Sasa Leo kijana kapelekwa polisi dawati la jinsia huko na huyo single mama..
Kijana anaomba ushauri aanze wapi?
Kuna single mama mmoja alikuwa na mahusiano na mtoto wa kishua.
Akajiachia mwenyewe, sijui kutegesha mimba ikaingia ili aolewe .
Kama ilivyo kuzaa sio kuolewa yule mtoto wa kishua akamtolea nje.
Mtoto wa kishua akaenda akaoa mwanamke mwingine.
Single mama ikawa ndiyo basi tena akajifungua mtoto wake.
Upande wa mtoto wa kiume wa kishua yeye hana kazi kubwa ni dereva tu.
Akamwambia Mimi nitamsomesha mtoto kwenye shule nliyo na uwezo nayo na matumizi ya mtoto nitakupa.
Haya mtoto wa kishua aliyafanya baada ya kuridhiana na mkewe.
Sasa single mama yeye anaangalia uwezo wa familia ya kishua ya mwanaume anataka mtoto wa kishua ampe matumizi makubwa wakati hana uwezo huo.
Single mama akaanzisha vitimbwi, mara aongee na wazazi wa mtoto wa kishua.
Mwanzo wazazi walikuwa wanamsikiliza kwakuwa mtoto ni damu yao.
Mbaya zaidi single mama akawatukana wale wazazi wa mtoto wa kishua.
Hapa ndio ikawa mwisho wa mawasiliano kati ya single mama na wazazi hao.
Hakuishia hapo mara atoe vitisho kuwa atamloga mtoto wa kishua...
Sasa Leo kijana kapelekwa polisi dawati la jinsia huko na huyo single mama..
Kijana anaomba ushauri aanze wapi?