ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,782
- 127,947
Uswahilini ndio wapi??
Kwa Dar mfano uswahilini ni sehemu nyingi ambazo hazijapangika, hazina city plan..
Njoo kwetu buguruni gana, vingunguti kwa mnyamani na maeneo mengi ambayo hayana plani rasmi, nyumba zimejemgwa kiholela, ukitembea mtaani si aghalabu kutokea chooni kwa mtu...sehemu ambazo utakuta watu wapo tu vibarazani tangu kukuche hadi kukuchwe ni kupiga stories tu..
Hiyo ndio definition yangu...