The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,654
Kibongo bongo wengi tu huwawekea wenzao vifundo kwenye makoromeo hahaaaa yao bila sababu either, kwa kumhisi vibaya, kumuona ana ringa bila sababu, na ukimzidi mtu kitu nalo ni kosa.
Hilo la kusalimia ndo sijui wanaona ni nini kuna mtu alikua anauliza kitu baada ya kutoa msaada wakaanza kumshambulia mbona husalimii, sijui nini? Hivi hapa mjini utasalimia wangapi.
Na tabia ya jamii kutaka uishi wao wapendavyo na kupangia wengine life style. Kuna vtu vingi Jamii ibadilike sasa.
Ni ugonjwa wa jamii yetu
kuna mtu nilikua nae ofisi moja but idara tofauti
wakati mwingine tunaonana tu juu kwa juu
kumbe ana kifundo cha koromeo why simsalimii daily
siku ya siku nina shida na yeye specific kumfata ndo nagundua kumbe huyu mtu
ana fundo la koromeo na mimi...kweli tuna shangaza sana....vijitabia vya watu wanaoishi kwenye miji midoogo
kama vijiji vya wavuvi unavikuta kwenye city.....