Dah! Umenigusa jana nilicheka upande mwingne niuzka na aibu juu ilikuwa hivi,
aliingia mgeni rafiki wa mama sasa katoka na njaa yake kwao nasi tulishakula maana ilikuwa mida y saa 10 ivi sasa yule mgeni nikasikia ananiita kwa saut maana nilikuwa chumban na ni mbal kdogo na sebulen akasema
ME TOO naomba ugali nja inauma nikamwambia sawa maan ulibak nkaona nmpe huohuo
sasa wakat anamalizia kula akaingia SHEMEJI wa mama kuja kumsalimia mama amini usiamini hakusalimia watu wengne waliokuwepo akiwepo yule nilie mtengea chakula akaenda kumsalimu mama tu sasa yule aliekuwa anakula akasema tena
jaman ME TOO njo utoe vyombo vyako asante,
hahahah shemeji wa mama alirusha neno kali hapo hajakaa kwenye kiti.
Eti,
'ulipokuwa unakula vyombo vilikuwa vyako sasaivi sio vyako'
duh hi kaul noma kila mtu alpigwa bumbuwaz