Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,928
dada ndo maana tunataka sober house,na pia ningeomba wewe ndo uwe pale kutashauri.

dada ndo maana tunataka sober house,na pia ningeomba wewe ndo uwe pale kutashauri.

Af wewe una vituko!!!dada naomba upunguze ukali wa maneno nimeanza kuhisi kupiga tena samahani sana dedeeede
mwalimu alituambia kuwa ni njia ya kujikinga na magonjwa,aiseemaana tangu nifundishwe na mwalimu wa sayansi std 7 mpaka leo sijaacha.popote ulipo ticha mungu anakuona.
Kumbe hilo nalo ni somo kwenye mitaala ya shule za msingi hapa Tanzania?! au umesomea Marekani?
Hahaha huyo atakuwa hana shida acha afe na puli lakeUshaambiwa ni kitendo cha aibu na siri unasema tena sijui muonane muongee mara mpigiane simuu nani atakubali afanye haya mambo na mtu asomjuaa
Yalitokea sana lakini nimeangaika kuzirudisha sasaivi niko poavipi mkuu ebu tueleze miaka yote io kumi hukupata madhara ya nguvu za kiume
Achana na jina mbona yapo mengi ya ajabuila mbona jina lako linaleta mushkeli
Haahahahaaa jamaa kanichekesha sana icda bro unakosea sana
ila umenichekesha haahàaa
duuuh amazing
Hata uwakalie uchi haisimami labda uoneshe kopo la vaselineNyie hata ushauri hamsikii labda mkikaliwa uchi mtapunguza mahaba na hiyo mikono
Nahisi nilipata tatizo jingine, maana mashine hakuna muda ambo ilikuwa ikilala baada ya sex. nilibak kupata maumivu ya mishipa maana ilinibidi niwe nakausha tu maana kama ni show nilihisi namuumiza yule binti, ila muda ulivozidi kwenda ikawa nikikutana na binti ni suala la dakika chache picha linaisha. ila nilipoacha nikarudi normal, na ukijiendekeza sana unaweza kufikia stage uko na mamiloo umetoka kupiga shoo af una tafuta location unajitupia ka ekotite kamoja af ndo ukae sawajose
je at ur first sex hukupata shida yoyote kusimamisha yaani nguvu kupungua
pia wasaidie wenzako ulitumia mbinu gani kuacha na kuimarisha nguvu za mme
we bonge al ziro.kwa mtu asiyejua hawezi elewa hii kitu, kuna wakati mizuka ikija unahisi pumzi inakata, unaweza chomoka hata church unaenda toilet unakitupa kimoja unarudi kwenye ibada