Kuna 'Sober House' za punyeto?

Kuna 'Sober House' za punyeto?

naacha asee kuna dem ananizungua roho ikawa inauma sema nilivyjilipua nkamuona fara tu na sijamtafuta mpaka sa hv
yani demu ndo akuaribie future yako
fikiria unachofanya pia try to focus on ur coming life
 
Huyu hafanyi sana ka
kakaaa siku 26 kuna
wadau wanapiga bao tatu
kwa siku mara tatu au
nne kwa wiki


ha ha lordchimkwese sidhan kama kuna anaenikuta mimi nilikuwa naenda had 6 per day hakuna siku niliacha kwa kipind cha mwaka mmoja labda kupunguza kutokana na kazi kuwa nyingi sidhani humu ndan kuna mwenye kunikuta
Mwili wako upo sawa?
una kilo ngapi?
 
Kuacha nyeto ni rahisi sana.
Tafuta demu ambaye unayeona ukikaa naye unakuwa huna wasiwasi(ukikaa uchi mbele yake huna wasiwasi,wakati wa kufanya mapenzi naye huna hata lepe la kutokujiamini,ukiwa naye hamu ya kufanya mapenzi inakuwa kubwa kuliko ukiwa na mwingine,ukiwa naye unakuwa huru sana.
N.B: Usithubutu kumwambia kama wewe ni mpiga puchu,anaweza kukwambia maneno yatakayokuvuruga.
 
Hili janga la "kujichua" limekuwa kubwa na limeathili vijana wengi, kiukweli ukianza "kujichua" wewe ni sawa na mtu aliyeanza madawa ya kulevya, yaani kuacha ni "muujiza", wengine mpaka wanaoa lakini bado wanaendelea.

Wadada humu wanalalamika kuwa hawaridhishwi na wapenzi wao eti kisa "punyeto". Hivi jamani hakuna "sober house" ambazo zinatupokea sisi tulioathiriwa na hii kitu? Maana tangu nifundishwe na mwalimu wa sayansi std 7 mpaka leo sijaacha, popote ulipo ticha mungu anakuona.


moto wa maji Mwenyekiti CHAPUTA
The Book Katibu Mkuu CHAPUTA.
Labda ukatwe mikono yote hapo utaacha kwa lazima.
 
Hili janga la "kujichua" limekuwa kubwa na limeathili vijana wengi, kiukweli ukianza "kujichua" wewe ni sawa na mtu aliyeanza madawa ya kulevya, yaani kuacha ni "muujiza", wengine mpaka wanaoa lakini bado wanaendelea.

Wadada humu wanalalamika kuwa hawaridhishwi na wapenzi wao eti kisa "punyeto". Hivi jamani hakuna "sober house" ambazo zinatupokea sisi tulioathiriwa na hii kitu? Maana tangu nifundishwe na mwalimu wa sayansi std 7 mpaka leo sijaacha, popote ulipo ticha mungu anakuona.


moto wa maji Mwenyekiti CHAPUTA
The Book Katibu Mkuu CHAPUTA.[/Q
fanya mazoezi epuka movie za x na vitu vinavyokaribiana na hivyo,acha sexting na wana wake,ukipanda kitandani uwe na usingizi ulale
 
Mnashindwa kuwapa wanawake show za kibabe, utamu wote mnaumalizia mikononi mnakera
Hizo show za kibabe wengi wenu mnazikimbia eti tuko rough, kuta ntu anapiga show hadi unaomba maji ya baridi ukipooze si utamkimbia episode inayofata
 
Back
Top Bottom