Kuna 'Sober House' za punyeto?

Kuna 'Sober House' za punyeto?

Hii kitu iliniabisha sana kwa msichana mpya,uliyenifundisha hii kitu mungu anakuona
 
ivi watu wanashindwa hata kwenda kwa ma'trafiki' wa usiku!!! daah
Changamoto za Papuchi ni nyingi+diseases+time+cost as a bussinessman kuchukua Risk Ya sampuli hii ni hasara kabisa
 
..Hili janga la "Kujichua" limekuwa kubwa na limeathili vijana wengi,kiukweli ukianza "kujichua" wewe ni sawa na mtu aliyeanza madawa ya kulevya,yaan kuacha ni "muujiza",wengine mpaka wanaoa lakini bado wanaendelea,wadada humu wanalalamika kuwa hawaridhishwi na wapenzi wao eti kisa "punyeto".
..ivi jamani hakuna "sober house" ambazo zinatupokea sisi tulioathiliwa na hii kitu?..


Cc Wapigaji wote.

Uongo dhambi.....hii kitu kuacha ni ngumu mnoooo. On ur youth unakuta ukiwaza uhonge dem laki wakat unaweza ukajipiga selfie la ukweli tu ukaridhika.

Mimi in my teenage years siku nliyompanda mwanamke for the first time ndio nilijua the difference between the two. Ukishaanza kutafuna madem utajikuta unapunguza.

Bila hvyo ni ngumu sanaa kuchomoka. Ule utamu ni balaa sanaa at tyms hata kulala usiku huwez mpaka upige.
 
Mnashindwa kuwapa wanawake show za kibabe, utamu wote mnaumalizia mikononi mnakera
dada ndo maana tunataka sober house,na pia ningeomba wewe ndo uwe pale kutashauri.
 
Uongo dhambi.....hii kitu kuacha ni ngumu mnoooo. On ur youth unakuta ukiwaza uhonge dem laki wakat unaweza ukajipiga selfie la ukweli tu ukaridhika.

Mimi in my teenage years siku nliyompanda mwanamke for the first time ndio nilijua the difference between the two. Ukishaanza kutafuna madem utajikuta unapunguza.

Bila hvyo ni ngumu sanaa kuchomoka. Ule utamu ni balaa sanaa.
sisi hatuna hela za kuhonga,selfie tu
 
Back
Top Bottom