Kuna 'Sober House' za punyeto?

Kuna 'Sober House' za punyeto?

Hili janga la "kujichua" limekuwa kubwa na limeathili vijana wengi, kiukweli ukianza "kujichua" wewe ni sawa na mtu aliyeanza madawa ya kulevya, yaani kuacha ni "muujiza", wengine mpaka wanaoa lakini bado wanaendelea.

Wadada humu wanalalamika kuwa hawaridhishwi na wapenzi wao eti kisa "punyeto". Hivi jamani hakuna "sober house" ambazo zinatupokea sisi tulioathiriwa na hii kitu? Maana tangu nifundishwe na mwalimu wa sayansi std 7 mpaka leo sijaacha, popote ulipo ticha mungu anakuona.


moto wa maji Mwenyekiti CHAPUTA
The Book Katibu Mkuu CHAPUTA.
Hakuna hayo madhara, nimepiga Puchu kwa miaka 30+ na bado sijayaona!Ukitaka kuacha punyeto ni kuhakikisha kila unapopata hamu kuna mtu wako wa kukuhudumia!Ukiwa nae hata kwa mwezi tu mfululizo unasahau kwa muda, na kurudi normal!Lakini hutaweza kuvumilia kukaa mwezi bila ngono, lazima utapiga tu punyeto!
 
Hakuna hayo madhara, nimepiga Puchu kwa miaka 30+ na bado sijayaona!Ukitaka kuacha punyeto ni kuhakikisha kila unapopata hamu kuna mtu wako wa kukuhudumia!Ukiwa nae hata kwa mwezi tu mfululizo unasahau kwa muda, na kurudi normal!Lakini hutaweza kuvumilia kukaa mwezi bila ngono, lazima utapiga tu punyeto!
30+?????????
 
Miaka 5 siyo haba, ika we endelea kupiga tu.
Haina madhara yoyote zaidi ya watu kuleta argument za uongo na ukizifuata kwel, basi ndo zinakuharibu kisaikolojia
Acha kumdanganya mtoto mdogo huyo
-Punyeto ina madhara zaidi ya Kisaikolojia kuliko Kimwili
1.Kukosa Kujiamini mbele za watu
2.Kutoridhika na maisha yako ya kila siku.
3.Kujiona huna thamani mbele za watu
4.Kushindwa kusocialize na jinsia tofauti
5.Uchovu muda wote
6.Kuwa na kumbukumbu hafifu
7.Maumivu ya mgongo
8.Kuwa mzito kufikiri na kung'amua mambo
9.Uvivu uliopitiliza

Wengi wa wapiga nyeto waliokubuhu watakua mashahidi wa dalili nilizotaja hapo juu. Kama unadhani nakutania, Acha nyeto wiki moja uone Tofauti
 
Acha kumdanganya mtoto mdogo huyo
-Punyeto ina madhara zaidi ya Kisaikolojia kuliko Kimwili
1.Kukosa Kujiamini mbele za watu
2.Kutoridhika na maisha yako ya kila siku.
3.Kujiona huna thamani mbele za watu
4.Kushindwa kusocialize na jinsia tofauti
5.Uchovu muda wote
6.Kuwa na kumbukumbu hafifu
7.Maumivu ya mgongo
8.Kuwa mzito kufikiri na kung'amua mambo
9.Uvivu uliopitiliza

Wengi wa wapiga nyeto waliokubuhu watakua mashahidi wa dalili nilizotaja hapo juu. Kama unadhani nakutania, Acha nyeto wiki moja uone Tofauti
akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Tatizo kuhusu suala zima la Punyeto ni kwamba asilimia kubwa ya Wapigaji hawajui kama wana tatizo. Hawaoni kama addition ya Punyeto ni tatizo. Well nataka nikuambie ni tatizo litakalokuharibia maisha yako kwa ujumla. Ingia google tafuta No fap Forum.... Soma story za watu waliohangaika na tatizo la punyeto kwa miaka mingi, Yale matatizo waliyoyapitia na walivofanikiwa kuiacha Punyeto labda inaweza kukupa mwanga na kukusaidia kuacha.
 
Hatare sana mimi nimejiongezea dozi uwezo wa kubeba tena vcheche na milupo kwishney na posho ndio ya mwenge nayo imefutwa sasa sijui itakuaje.awamu ya tano hakuna kubadili mboga ni mwendo wa kula kwa macho.
 
Kama hakuna basi Kuna haja ya kuanzisha vitu kama hivi Tanzania! Hili loshakua janga pia! Ni addiction mbaya sana.
 
Ila kuna mtu (Dokta) aliwahi kuniambia kuwa ukipiga kwa usahihi basi haina shida.
 
Bora nyeto,nan anapenda ujinga wa kumbembeleza mwanamke **** yake? Na pengine k yenyewe na mboo kubwa k hata ukisex hauhisi kitu?
Lakini punyeto unasaiz mkono na mboo saaaf kabisaaa and no stress.
 
Mnashindwa kuwapa wanawake show za kibabe, utamu wote mnaumalizia mikononi mnakera

Contrary to popular belief, it may help kukupa hiyo show ya kibabe, hasa kama ninja hajafanya siku nyingi wazungu wamejaa.

Umeshawah sikia msemo 'una kimbelembele kama bao la kwanza?' Its true kuwa ka kwanza huwa kana haraka, so kama atapiga selfie kamoja few hours kabla ya mechi na wewe, anakua ameshakatoa. Akifika kwako anaanzia gia namba mbili ambayo inastahimili kwa muda mrefu.
 
Back
Top Bottom