Kuna 'Sober House' za punyeto?

Kuna 'Sober House' za punyeto?

Jamani kama hiyo sober house ya *SELFIE* ipo naomba na mimi mnifahamishe ilipo, I'm addicted
 
Ondoa wasiwasi Mkuu sina uwezo wa kuelezea yote kupitia maandishi na wala sihitaji senti ya mtu make mimi siyo mganga ni ex-victim wa hii kitu so yule atakayehitaji ushauri zaidi twaweza ongeo on phone au hata kuonana for counselling ndo maana nikasema kwa msaada zaidi njoo PM.
Ushaambiwa ni kitendo cha aibu na siri unasema tena sijui muonane muongee mara mpigiane simuu nani atakubali afanye haya mambo na mtu asomjuaa
 
Ondoa wasiwasi Mkuu sina uwezo wa kuelezea yote kupitia maandishi na wala sihitaji senti ya mtu make mimi siyo mganga ni ex-victim wa hii kitu so yule atakayehitaji ushauri zaidi twaweza ongeo on phone au hata kuonana for counselling ndo maana nikasema kwa msaada zaidi njoo PM.
vipi mkuu ebu tueleze miaka yote io kumi hukupata madhara ya nguvu za kiume
 
Kiufupi nimeianza boarding school, na kwa upande mmoja ilinisaidia maana for the first time nime sex na binti nikiwa na miaka 23, na kipindi niko kwenye ubora wangu nilikuwa naenda hadi zaidi ya 3 kwa siku (selfie),
ila ni mchezo ambao ni mgumu kuacha ukizoea, ila saivi nilishaacha, niko poa naendele kupiga show halisi kama kawa
jose
je at ur first sex hukupata shida yoyote kusimamisha yaani nguvu kupungua
pia wasaidie wenzako ulitumia mbinu gani kuacha na kuimarisha nguvu za mme
 
Kuna kujichua kw aina nyingi sana,sio tu kwa bafuni,kuna kujichua kwa mtu kulala kifudifudi na anakata mauno kana kwamba anamgeng'enda mtu kumbe anagusiaha uume na sehemu ya shuka baada ya kujirdhisha anaacha na hii haiihitaji hata kwenda bafun..tuliwahi kumkuta jamaa yetu amafanya haya bwenin..nikaona hili.

Lakin nyingine ndio hivyo ya kutumia mkono ambayo ndio so common..zoezi hili ni uchafu lakini zaidi unailainisha na kisha kuidhoofisha mishipa hata kuufanya uume usiwe lijali ...na ikifika miaka 20 unaweza kupelekea ugumba kwa sababu ya importation
 
Mimi katibu sijapokea barua yake ya kujiengua uanachama, anadhani atafanikiwa? hili game linadumu hadi miaka 30 na kwendelea, unakwepa kununua vaseleni ya 5,000 alafu unahonga 500,000 utajenga lini? kama katibu nasema sitaki upurofeseri, yeye bado ni mwanachama.
nitakuandika barua,ila nikishindwa kuvumilia nitatengua
 
Ondoa wasiwasi Mkuu sina uwezo wa kuelezea yote kupitia maandishi na wala sihitaji senti ya mtu make mimi siyo mganga ni ex-victim wa hii kitu so yule atakayehitaji ushauri zaidi twaweza ongeo on phone au hata kuonana for counselling ndo maana nikasema kwa msaada zaidi njoo PM.
ila mbona jina lako linaleta mushkeli
 
nitakuandika barua,ila nikishindwa kuvumilia nitatengua
Kaka hii issue siyo ya kitoto, wanaosema wameacha naona kama wapo likizo tu.....unaweza kaa miaka 3 bila kujilipua, ila siku ukianza lazima ufidie siku ulizopitiliza.
 
Kaka hii issue siyo ya kitoto, wanaosema wameacha naona kama wapo likizo tu.....unaweza kaa miaka 3 bila kujilipua, ila siku ukianza lazima ufidie siku ulizopitiliza.
sasa nina wiki moja lakini naona mulemuleeee
 
Kwa anayehitaji tiba na ushauri kuhusu punyeto anitafute PM. Nilikuwa na vitu 3 vinanisumbua sigara, pombe na nyeto. Kuanzia 2005 nilijaribu kuacha kimoja baada ya kingine ikawa mtihani mzito hadi mwaka 2007 nilipofanikiwa kuzitosa sigara na pombe ila nyeto ikanishinda nikaendelea nayo. Aisee nyeto imenitesa sana na kunidhoofisha nilikuwa nikiapa naacha lakini baada ya siku 3 au wiki nairudia. Kuna kipindi kama mara mbili hivi nimewahi kutimiza mwezi lakini baadae nikairudia. Namshukuru Mungu mwaka 2013 ukawa mwaka wa ukombozi nikafanikiwa kuitosa rasmi nyeto ingawa hiyo ikazaa ugonjwa mwingine wa michepuko ambao sikuwa nao kabla as replacement ya nyeto. Ila mitihani hii ya dunia dah! Sasa nafight kuachana na michepuko.
Hio ya michepuko ndo dawa kamili zingine mbwembwe tu
 
maana tangu nifundishwe na mwalimu wa sayansi std 7 mpaka leo sijaacha.popote ulipo ticha mungu anakuona.

Kumbe hilo nalo ni somo kwenye mitaala ya shule za msingi hapa Tanzania?! au umesomea Marekani?
 
Okokokeni na mtubu kwa Mungu kwa huo uovu mtaacha hiyo tabia,kuna wakati unaweza kuhisi ni tabia ya mtu lakini sio kweli mara nyingi inakuwa ni mapepo ndio yana kupelekea kufanya hiyo kitu.
 
Back
Top Bottom