Oyeechaputa mwenzang oyeeeeeee
daah sijui nikufate pm maana tayar ushaunyanyua mnara wa voda evelyn.....napendaga sana hvNyie hata ushauri hamsikii labda mkikaliwa uchi mtapunguza mahaba na hiyo mikono
Inabidi huko soba wasiweke mafuta ya kupaka na sabuni na kuoga waende kundi



Ushaambiwa ni kitendo cha aibu na siri unasema tena sijui muonane muongee mara mpigiane simuu nani atakubali afanye haya mambo na mtu asomjuaaOndoa wasiwasi Mkuu sina uwezo wa kuelezea yote kupitia maandishi na wala sihitaji senti ya mtu make mimi siyo mganga ni ex-victim wa hii kitu so yule atakayehitaji ushauri zaidi twaweza ongeo on phone au hata kuonana for counselling ndo maana nikasema kwa msaada zaidi njoo PM.
Kweli imebidi ucheke, loohda bro unakosea sana
ila umenichekesha haahàaa
duuuh amazing
vipi mkuu ebu tueleze miaka yote io kumi hukupata madhara ya nguvu za kiumeOndoa wasiwasi Mkuu sina uwezo wa kuelezea yote kupitia maandishi na wala sihitaji senti ya mtu make mimi siyo mganga ni ex-victim wa hii kitu so yule atakayehitaji ushauri zaidi twaweza ongeo on phone au hata kuonana for counselling ndo maana nikasema kwa msaada zaidi njoo PM.
joseKiufupi nimeianza boarding school, na kwa upande mmoja ilinisaidia maana for the first time nime sex na binti nikiwa na miaka 23, na kipindi niko kwenye ubora wangu nilikuwa naenda hadi zaidi ya 3 kwa siku (selfie),
ila ni mchezo ambao ni mgumu kuacha ukizoea, ila saivi nilishaacha, niko poa naendele kupiga show halisi kama kawa
kwa mtu asiyejua hawezi elewa hii kitu, kuna wakati mizuka ikija unahisi pumzi inakata, unaweza chomoka hata church unaenda toilet unakitupa kimoja unarudi kwenye ibada
nitakuandika barua,ila nikishindwa kuvumilia nitatenguaMimi katibu sijapokea barua yake ya kujiengua uanachama, anadhani atafanikiwa? hili game linadumu hadi miaka 30 na kwendelea, unakwepa kununua vaseleni ya 5,000 alafu unahonga 500,000 utajenga lini? kama katibu nasema sitaki upurofeseri, yeye bado ni mwanachama.
ila mbona jina lako linaleta mushkeliOndoa wasiwasi Mkuu sina uwezo wa kuelezea yote kupitia maandishi na wala sihitaji senti ya mtu make mimi siyo mganga ni ex-victim wa hii kitu so yule atakayehitaji ushauri zaidi twaweza ongeo on phone au hata kuonana for counselling ndo maana nikasema kwa msaada zaidi njoo PM.
Kaka hii issue siyo ya kitoto, wanaosema wameacha naona kama wapo likizo tu.....unaweza kaa miaka 3 bila kujilipua, ila siku ukianza lazima ufidie siku ulizopitiliza.nitakuandika barua,ila nikishindwa kuvumilia nitatengua
cha ajabu sisi tulifundishwa na mwalimu wa sayansi primary,yule mwalimu we muache tu
aliwafundishaje???.....ebu jaziajazia tupate lessonHii kitu iliniabisha sana kwa msichana mpya,uliyenifundisha hii kitu mungu anakuona
Hio ya michepuko ndo dawa kamili zingine mbwembwe tuKwa anayehitaji tiba na ushauri kuhusu punyeto anitafute PM. Nilikuwa na vitu 3 vinanisumbua sigara, pombe na nyeto. Kuanzia 2005 nilijaribu kuacha kimoja baada ya kingine ikawa mtihani mzito hadi mwaka 2007 nilipofanikiwa kuzitosa sigara na pombe ila nyeto ikanishinda nikaendelea nayo. Aisee nyeto imenitesa sana na kunidhoofisha nilikuwa nikiapa naacha lakini baada ya siku 3 au wiki nairudia. Kuna kipindi kama mara mbili hivi nimewahi kutimiza mwezi lakini baadae nikairudia. Namshukuru Mungu mwaka 2013 ukawa mwaka wa ukombozi nikafanikiwa kuitosa rasmi nyeto ingawa hiyo ikazaa ugonjwa mwingine wa michepuko ambao sikuwa nao kabla as replacement ya nyeto. Ila mitihani hii ya dunia dah! Sasa nafight kuachana na michepuko.