ndoze
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 1,187
- 1,108
Asante EvelynUrefu ni mvuto.... Yani mtu akiwa mrefu automatic tu anavutia, then ndo vinafata vigezo vingine
Asante EvelynUrefu ni mvuto.... Yani mtu akiwa mrefu automatic tu anavutia, then ndo vinafata vigezo vingine
Huu Uzi umekaa Ki style ya kujipigia chapuoUnajipigia chapuo kichizi, usipong'oa chombo hapa uzembe huo
haaahaaa! nimekupata vilivyo agata,Tunawaona uku mtaani hata umu jf wanaofungua topic za kuwakashifu wanawake wengi ni wanaume wafupi ahaaa walefu huwa wanatutetea tu
hahaa tena haoUmeamua kumnanga jirani yangu dereva wa lori
we unangapSasa 5'9 ft mbona mfupi kama mimi tu!
labda we mfupi, ila wenzio tunatumia fursaHuu Uzi umekaa Ki style ya kujipigia chapuo
pointUrefu ni mvuto.... Yani mtu akiwa mrefu automatic tu anavutia, then ndo vinafata vigezo vingine
Ulijuaje asee, mie ndunje kweli,ila fresh ,tumia fursalabda we mfupi, ila wenzio tunatumia fursa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mwingine nimemsikia analia juzi kanisani, anamlilia Mungu amkumbuke halafu analilia kwenye mike. Alivyotoka nje anaonekana yupo kwenye 40 kabisa. Nikasema ndo walewale.Wakiwa wadogo ndio wanachagua chagua,urefu ila wakikua miaka ya 28 kwenda mbele hua wanakesha makanisani na kumuomba Mungu aje yeyote tu
Habari za siku KH, umeadimikaHuu Uzi umekaa Ki style ya kujipigia chapuo
Afadhali. Hebu watajie baadhi tu ya hizo neema zetu ili tujenge heshima japo kidogoWanaume warefu ni wazuri kwa show off tu lakini wafupi huwa wanajaliwa neema za Allah.
Nina 179 cmwe unangap
sawa andunjeNina 179 cm
Nipo ES ,km hiviHabari za siku KH, umeadimika
Nipo naona mnatusimanga sie akina andunjeHabari za siku KH, umeadimika
Hahaha!sawa andunje
Haha.. teh
Ni kafutu aseeh