Kuna siri gani ipo kati ya Palestine na Tanzania?

Hennes kolon

JF-Expert Member
Jan 13, 2023
673
1,287
Enzi za mwalimu Nyerere aliwatosa Israel na akawakubali Palestine na hadi kuweka ubalozi.

Zama hizi Tanzania imepiga kura ya veto kupitia UN, kupinga kile Israel inachokiita kusafisa magaidi ya Hamas

Tangu uhuru hadi leo hakuna Rais aliyewahi kuwaunga mkono Israel juu ya mzozo wao kongwe na Palestine.

Ni Hayati Magufuli tu ndiye aliyethubutu kuitambua Israel, ila baada ya yeye, aliyepo naona pia kaipa mgongo Israel. Kuna agenda gani Kati ya Palestine na Tanzania?

NB. Sina mlengo wa udini hapa .
 
enzi za mwal. mwal aliwatosa Israel , na akawakubali Palestine na Hadi kuweka ubalozi. Zama hizi Tanzania imepiga kura ya veto kupitia UN, kupinga kile Israel inachokiita kusafisa magaidi ya Hamas...
WA DINI YANGU
 
Enzi za mwalimu Nyerere aliwatosa Israel , na akawakubali Palestine na hadi kuweka ubalozi.

Zama hizi Tanzania imepiga kura ya veto kupitia UN, kupinga kile Israel inachokiita kusafisa magaidi ya Hamas...
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu.

Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
 
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
Tanzania haina dini, ukiamua kuleta Aya za dini humu basi wengine nao wataleta AMOS 9:15 isemayo Israel watarejeshwa Kutoka walikotawanywa, na wakirudi (1948), hakuna atakayewatoa. Hapa wa dini hiyo watakuambia unabii wa Amos umetimia, Waisraeli hawawezi Tena kuondolewa kwenye nchi yao, Wapalestina wakae kwa kutulia vinginevyo kipondo kitaendelea mpaka wafutike.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Enzi za mwalimu Nyerere aliwatosa Israel , na akawakubali Palestine na hadi kuweka ubalozi.

Zama hizi Tanzania imepiga kura ya veto kupitia UN, kupinga kile Israel inachokiita kusafisa magaidi ya Hamas

Tangu uhuru hadi leo hakuna Rais aliyewahi kuwaunga mkono Israel juu ya mzozo wao kongwe na Palestine.

Ni JPM tu ndiye aliyethubutu kuitambua Israel, ila baada ya yeye, aliyepo naona pia kaipa mgongo Israel. Kuna agenda gani Kati ya Palestine na Tanzania?

NB. Sina mlengo wa udini hapa .
Hakuna siri yoyote, Nyerere ni mkatoliki aliyekuwa anafata maagizo ya kanisa to the dot.

Hata Hitler aliwatosa wayahudi alikuwa mkatoliki.

Ktu msichoelewa ni kuwa adui mkubwa wa wayahudi ni Mkristo.

Ukiona wale wazungu wanaomuunga mkono elewa kuwa wale ni wapagani, mashoga na wasagaji.

Hata wayahudi wenzake walioshika dini hawamuungi mkono netanyahu.
 
Tanzania iliunga mkono palestine kwasababu Nyerere alikuwa mstari wa mbele kupigania uhuru miaka ya 70 ikiwemo afrika kusini iliyokuwa chini ya makaburu


Makaburu walikuwa wanasuport israeli

Kwa hiyo simple Nyerere akaona makaburu na israeli wapo pmj sisi tutawaunga mkono palestine

Ila mahusiano ya kibnafs kati Israel na Nyerere hayakukatika Nyerere alitembelea israeli binafs sio km kiongozi


Hata leo Nyerere angelikuwepo asingewasapot palestine maana ni magaidi
 
Enzi za mwalimu Nyerere aliwatosa Israel , na akawakubali Palestine na hadi kuweka ubalozi.

Zama hizi Tanzania imepiga kura ya veto kupitia UN, kupinga kile Israel inachokiita kusafisa magaidi ya Hamas

Tangu uhuru hadi leo hakuna Rais aliyewahi kuwaunga mkono Israel juu ya mzozo wao kongwe na Palestine.

Ni JPM tu ndiye aliyethubutu kuitambua Israel, ila baada ya yeye, aliyepo naona pia kaipa mgongo Israel. Kuna agenda gani Kati ya Palestine na Tanzania?

NB. Sina mlengo wa udini hapa .
Israel ilikuwa inaunga mkono makaburu, na yenyewe ilikuwa inafanya kilekile wanachofanya makaburu. Ingekuwa unafiki mkubwa kuwapinga makaburu na kuiunga mkono Israel. Unafiki una kikomo.
 
Enzi za mwalimu Nyerere aliwatosa Israel , na akawakubali Palestine na hadi kuweka ubalozi.

Zama hizi Tanzania imepiga kura ya veto kupitia UN, kupinga kile Israel inachokiita kusafisa magaidi ya Hamas

Tangu uhuru hadi leo hakuna Rais aliyewahi kuwaunga mkono Israel juu ya mzozo wao kongwe na Palestine.

Ni JPM tu ndiye aliyethubutu kuitambua Israel, ila baada ya yeye, aliyepo naona pia kaipa mgongo Israel. Kuna agenda gani Kati ya Palestine na Tanzania?

NB. Sina mlengo wa udini hapa .
Nadhani ni Kwa kuwa Tanzania tunapenda Haki! Wapelestina wamekuwa wakidai Haki na sisi tumekuwa tukiwaunga mkono!

Tangu lini Tanzania ikapenda haki?
 
Back
Top Bottom