Kwanini Serikali imeruhusu ubalozi wa Palestine nchini kutumia mabango ya Tanzania kufanya propaganda?

uwe hodari

JF-Expert Member
Dec 16, 2022
3,987
8,362
Ubalozi wa Palestine umeweka poster kwenye bango la barabara ya kwenda Mlimani kufanya propaganda juu ya mtazamo wao

Sisi kama Taifa hatuwezi kuwazuia kuwa na mtazamo ni haki yao hata kama wana mtazamo usiokuwa na maana

Lkn kiasi cha serkali ya Tanzania kuruhusu hawa jamaa kufanya propaganda kwenye nchi yetu hii sio haki hata kidogo kwa kuwa hata Israeli wana haki kubwa pengine kushinda Palestine

Pia kama Taifa tunamalizia I ya karibu mno na Israeli kwani kwa awamu ya tano chini ya Hayati Magufuli, Tanzania tulipeleka vijana wengi Israeli kujifunza utaalamu mbalimbali hasa kilimo

Kwa hiyo tunapowadekeza Palestine kwenye nchini yetu na kuwabagaza Israeli hii si haki hata kidogo

Kitu kibaya zaidi ni kuwa poster imekwa kwenye njia inayotumiwa na wanazuoni wetu hii inatuma picha mbaya

Hili ni tukio la pili ndani ya wiki moja baada ya kituo cha Azam tv kutumia mpira wa super CAF Africa kuingiza maudhui yenye malengo eti ya kuitetea Palestine ( hatuwashangai Azam TV kwa kuwa wamekuwa na maudhui ya namna hiyo

Watu wetu wa Serkali wajifunze kutofautisha kati ya hisia binafsi na suala la kitaifa

Wapelestina watanganyika wasijisahau pia kuwa TANGANYIKA sio kwao hata kama wanadekezwa na baadhi ya viongozi
 
Football

Celtic fans defy club to fly Palestine flags in Champions League match​

Fans displayed banners and held up thousands of Palestine flags during their team’s UEFA Champions League match against Atletico Madrid.

1698345317380.png
 
Ubalozi wa Palestine umeweka poster kwenye bango la barabara ya kwenda Mlimani kufanya propaganda juu ya mtazamo wao

Sisi kama Taifa hatuwezi kuwazuia kuwa na mtazamo ni haki yao hata kama wana mtazamo usiokuwa na maan...
Ahsante kwa ushauri wako, tumeusikia tutaufanyia kazi.
 
Ubalozi wa Palestine umeweka poster kwenye bango la barabara ya kwenda Mlimani kufanya propaganda juu ya mtazamo wao

Sisi kama Taifa hatuwezi kuwazuia kuwa na mtazamo ni haki yao hata kama wana mtazamo usiokuwa na maana

Lkn kiasi cha serkali ya Tanzania kuruhusu hawa jamaa kufanya propaganda kwenye nchi yetu hii sio haki hata kidogo kwa kuwa hata Israeli wana haki kubwa pengine kushinda Palestine

Pia kama Taifa tunamalizia I ya karibu mno na Israeli kwani kwa awamu ya tano chini ya Hayati Magufuli, Tanzania tulipeleka vijana wengi Israeli kujifunza utaalamu mbalimbali hasa kilimo

Kwa hiyo tunapowadekeza Palestine kwenye nchini yetu na kuwabagaza Israeli hii si haki hata kidogo

Kitu kibaya zaidi ni kuwa poster imekwa kwenye njia inayotumiwa na wanazuoni wetu hii inatuma picha mbaya

Hili ni tukio la pili ndani ya wiki moja baada ya kituo cha Azam tv kutumia mpira wa super CAF Africa kuingiza maudhui yenye malengo eti ya kuitetea Palestine ( hatuwashangai Azam TV kwa kuwa wamekuwa na maudhui ya namna hiyo

Watu wetu wa Serkali wajifunze kutofautisha kati ya hisia binafsi na suala la kitaifa

Wapelestina watanganyika wasijisahau pia kuwa TANGANYIKA sio kwao hata kama wanadekezwa na baadhi ya viongozi
Na nyie Israel wekeni lenu. Simple.
 
Mtu anazaliwa Kyela anakuja Dar ghafla anakuwa mtetezi wa Wayahudi....hizi dini zina brainwash watu sana
Halafu anajidai ni taifa teule na hata akienda hapo Israel anaowasifoa ndo kwanza wanambagua na kumuona kituko
 
Back
Top Bottom