Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,688
- 3,142
Hili lilikuwa pendekezo la Uingereza wakati wa ukoloni.
Image endapo Israel angepata hiyo ardhi hapo Uganda ingekuwaje mpaka sasa. Kwa hali tunayoiyona kwa ndugu zetu Palestine kupokonywa ardhi na kukaliwa kimabavu. Je, tungepokonywa sisi na hawa madhalim na kisha kuuwawa kikatili kama wanavyouwawa wa Palestine, je kuna mtu angeendelea kulishobokea hili taifa linaloitwa Israel?
Sasa ninapomuona mtu mmoja mweusi aliyejazwa mafundisho ya visaasili (Mythology) vya dini kichwani na moyoni halafu mtu huyo anataka kuleta hoja za kipumbavu za kiushabiki na kiutumwa naamua kupuuzia tu.
Huwezi kupinga, kuhoji au kutoa maoni kuhusu issue ya Palestine na Israel kama hujui kuhusu mambo yafuatayo;
1. Khazaria Ashkenazi Jews
2. Historia ya Zionism movement na tabia zake
3. Azimio la Balfour Declaration of 1917
4. Uganda Scheme of 1903.
5. Proposals for a Jewish state (Maeneo yaliyokoswa koswa kuwa Israel na Tanzania ilikuwa miongoni)
6. Fake and staged holocaust Jews from 230000 to 6.5 milion Jews (lies)
7. Historia ya Ottoman Empire and mandate Plestine chini ya Muingereza
8. Nini maana ya "SS Exodus ya 1947?
10. UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini?
11. 14th may 1948 kulitokea Tukio gani?
12. 1950s Israel na Marekani kwanini walianzisha neno Ugaidi na Magaidi?
13. Ukatiri, Ubaguzi, Mauaji , Ubomoaji makazi na Ukoloni wa kutumia Jeshi uliofanyika kuanzia 1948 hadi leo.
14. Tofauti Kati ya Waisrael (watu weusi) na Wayahudi (Zionists yaani wazungu na walowezi
kutoka Ulaya).
15. Ni kwanini Marekani ndo lilkuwa Taifa la kwanza kuitambua Israel?
16. Kwanini Wanaharakati wote walioleta Uhuru barani Afrika Walikataa kuitambua Israel hata Mwl. Nyerere?
17. Sasa hapo unaweza kutoa hoja lakini kama umejazwa Chuki, Visaasili vya dini na Udini huwezi kujadili la maana kuhusu Israel na Palestine, sanasana utaishia kusema "Atayebariki atabalikiwa atakayelaani atalaaniwa" as if Mungu ni mkabila.
Image endapo Israel angepata hiyo ardhi hapo Uganda ingekuwaje mpaka sasa. Kwa hali tunayoiyona kwa ndugu zetu Palestine kupokonywa ardhi na kukaliwa kimabavu. Je, tungepokonywa sisi na hawa madhalim na kisha kuuwawa kikatili kama wanavyouwawa wa Palestine, je kuna mtu angeendelea kulishobokea hili taifa linaloitwa Israel?
Sasa ninapomuona mtu mmoja mweusi aliyejazwa mafundisho ya visaasili (Mythology) vya dini kichwani na moyoni halafu mtu huyo anataka kuleta hoja za kipumbavu za kiushabiki na kiutumwa naamua kupuuzia tu.
Huwezi kupinga, kuhoji au kutoa maoni kuhusu issue ya Palestine na Israel kama hujui kuhusu mambo yafuatayo;
1. Khazaria Ashkenazi Jews
2. Historia ya Zionism movement na tabia zake
3. Azimio la Balfour Declaration of 1917
4. Uganda Scheme of 1903.
5. Proposals for a Jewish state (Maeneo yaliyokoswa koswa kuwa Israel na Tanzania ilikuwa miongoni)
6. Fake and staged holocaust Jews from 230000 to 6.5 milion Jews (lies)
7. Historia ya Ottoman Empire and mandate Plestine chini ya Muingereza
8. Nini maana ya "SS Exodus ya 1947?
10. UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini?
11. 14th may 1948 kulitokea Tukio gani?
12. 1950s Israel na Marekani kwanini walianzisha neno Ugaidi na Magaidi?
13. Ukatiri, Ubaguzi, Mauaji , Ubomoaji makazi na Ukoloni wa kutumia Jeshi uliofanyika kuanzia 1948 hadi leo.
14. Tofauti Kati ya Waisrael (watu weusi) na Wayahudi (Zionists yaani wazungu na walowezi
kutoka Ulaya).
15. Ni kwanini Marekani ndo lilkuwa Taifa la kwanza kuitambua Israel?
16. Kwanini Wanaharakati wote walioleta Uhuru barani Afrika Walikataa kuitambua Israel hata Mwl. Nyerere?
17. Sasa hapo unaweza kutoa hoja lakini kama umejazwa Chuki, Visaasili vya dini na Udini huwezi kujadili la maana kuhusu Israel na Palestine, sanasana utaishia kusema "Atayebariki atabalikiwa atakayelaani atalaaniwa" as if Mungu ni mkabila.