mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 473
- 1,448
Nilikuwa Pwani, Wilaya ya Mkuranga, nimetembea vijiji vingi Hadi Kijiji kinaitwa mwanzenga (nimeambiwa ni Kijiji Cha wasanii).
Kilichonishangaza ni maeneo mengi ya mkuranga ni potential sana Kwa ufugaji na ujenzi wa viwanda.
Kilichonichosha ni population ndogo na wenyeji wanaishi maisha magumu , na kutoka mwanzenga to mbagala sio mbali , watu wamerundamana mbagala halafu pembeni kidogo pana maeneo mazuri ya kuanzisha makazi, shida ni ipi watu hawataki kuhamia huko?
Kilichonishangaza ni maeneo mengi ya mkuranga ni potential sana Kwa ufugaji na ujenzi wa viwanda.
Kilichonichosha ni population ndogo na wenyeji wanaishi maisha magumu , na kutoka mwanzenga to mbagala sio mbali , watu wamerundamana mbagala halafu pembeni kidogo pana maeneo mazuri ya kuanzisha makazi, shida ni ipi watu hawataki kuhamia huko?