Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Ben ni mwerevu na ana misimamo ni vigumu mno kumburuza.
Mkuu asingekubali kwenda kuaibika juzi na mipasho!!! Mambo ya ukweli mtu anayachukulia kimzaha!!! Mkapa hawezi kukubali hili hata kidogo.