kama kweli wewe ndiye unaekuja hapa jukwaani kuinadi ACT na haujui baba ako akidaiwa wewe unaathirika vipi basi kazi ipo.
deni la taifa halina athari yoyote. namshauri jk aendelee kukopa tule bata tu
kama kweli wewe ndiye unaekuja hapa jukwaani kuinadi ACT na haujui baba ako akidaiwa wewe unaathirika vipi basi kazi ipo.
deni la taifa halina athari yoyote. namshauri jk aendelee kukopa tule bata tu
deni la taifa hata likifikia trilioni 1000000000 linakuathiri vipi wewe kilaza?
deni la taifa halina athari yoyote. namshauri jk aendelee kukopa tule bata tu
ACT itaondoa deni la taifa. Italilipa lote ndani ya mwaka mmoja!
deni la taifa hata likifikia trilioni 1000000000 linakuathiri vipi wewe kilaza?
kama jamii yetu imejaa watu wa aina yote basi we have a long way to go.
umenifanya nizidi kukidharau chama unachokitetea kila siku kama nikiamini wenzio nao wana akili kama zako
umeona eee . yani act itawalipa mshahara watanzania wote wasiokuwa na ajira.. deni la taofa litakuwa historia . .ACT OYEEEE
Povu lote la nini mkuu?hizo namba ulizoandika hapo zinaku define ulivyo!Kwa wale waliosoma psychiatry wanajua hiyo ni nini,sitaki ku diagnose tatizo lako hadi hapo utakapotambua umuhimu wa elimu ya kujitambua...Take it from me kilaza
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Ama kweli tuna wajinga wengi sana ndani ya lumumba hujui athari ya kuongezeka kwa deni la taifa? Naweza kukuita jinga lisilokua na fikra hata kidogo. Acha kuwaza kwa kutumia tumbo na na ma------ shugulisha ubongo wewe jinga.
ACT ndo chama cha ukweli CCM Ni majuha!
jibu swali, deni la taifa linakuathiri vipi?
ACT ndio mkombozi wa taifa
Unaonaje deni likikua lakini maendeleo yakaonekana? Hata Serikali pia inawapa mikopo wanafunzi ili wasome elimu ya juu(vyuo vikuu) kumbuka ni Kikwete ndiye aliyeamua hata wanafunzi wanaosoma vyuo vikuu binafsi nao wakopeshwe, Hapo kabla haikuwa hivyoDeni la taifa toka 6 trilioni tangu uhuru hadi 2005 kufikia 23 trilioni sasa katika kipindi cha miaka 9 tu!!!
Kutoka kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria hadi kushughulikiwa kwa mujibu wa fitna!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
JK endelea kukopa tule bata, deni la taifa halituathiri kitu chochote
Deni la taifa halina athari mbaya bali ni maendeleo ndugu yangu.jibu swali, deni la taifa linakuathiri vipi?
Deni la taifa halina athari mbaya bali ni maendeleo ndugu yangu.
vijana muwe mnatumia muda wenu kusoma na kuielewa nchi na mambo yake na sio kuhongwa viroba tu na kuparamia siasa.
yaani mtu unaejihusisha na siasa hujui deni la taifa linakuathiri vipi? hujui sehemu yako katika taifa hili?
kweli kazi tunayo.
rudi shule