Kuna nini kati ya Mkapa na Kikwete?

Kuna nini kati ya Mkapa na Kikwete?

"Nabii na kitabu" chake hizi ni zama za mipasho Kikwete ni vyema kufanya mipasho
-Yesu alikuja zama za utabibu akafufua wafu kwa idhini ya Mola
-Musa alikuja zama za wachawi Mola akampa uwezo kuliko wachawi
-Muhammad alikuja zama za washairi Quran yote iko kwenye mtindo wa mashairi
 
Mwaga ya Ben tupingane kwa hoja!!
Nikuulize swali moja tu! Kipi mtamkumbuka ------ akitoka madarani!!!

Ni kweli hata mwendawazimu hawezi kuwalinganisha huyo na huyu
- Aliyejenga mabarabara mara mbili ya idadi ya kilomita alizozikuta
- Aliyejenga madaraja makubwa sana 3 kati ya 5 aliyoyaahidi Nyerere
- Aliyeleta vyuo vikuu zaidi ya 44 ? mara 4 zaidi ya waliowakuta
- Aliyezesha wanafunzi 160,000 wa vyuo vikuu mara 4 zaidi ya aliowakuta
- Aliyejenga chuo kikubwa kuliko vyote EAC.
- Aliyejenga chuo kikubwa cha sayari kwenye ukanda huu cha Nelson Mandera
- Aliyepeleka sekondari hadi kwenye kata
- Aliyezalisha umeme wa mega wait 1500 mara mbili zaidi ya alioukuta
- Aliyeanzisha umradi wa kupeleka umeme vijijini?
- Aliyewaunganishia umeme toka 12% alipochukua madaraka mpaka 21%
- Anayejenga bomba la gesi kubwa toka Mtwara hadi DAR
- Anayejenga barabara ya mabasi yaendayo haraka.
- Anayekubalika na viongozi wote wakubwa wa Dunia hii
- Aliyeanzisha hospital ya tiba ya moyo nchini
- Aliyeanzisha hospital ya kisasa ya kinywa
- Aliyesogeza huduma za afya karibu na wananchi
- Aliyejenga miundombinu ya afya
- Aliyeboresha huduma ya maji nchini
- Aliyeongeza ajira nchini

 
obligado!


Usted tiene la edad que usted es joven o eres menor de 14 años, este es el problema de los padres dejando su portátil en casa sus resultados son estos niños en estos días no quieren involucrarse en el deporte para fortalecer su salud en lugar de encerrarse en un ordenador portátil de los padres para charlar ignorancia. No había niños de extrañar en estos días están sufriendo con el problema de los espaguetis.
 
Mwanzoni walikuwa wanamtumia sana kwenye siasa,mfano kuzindua kampeni za chaguzi ndogo.
Tangu alivyodhalilishwa na Vicent Nyerere kuhusu kifo tata cha Baba wa Taifa,Mkapa ameamua kutokujiassociate na siasa tena.
Atakuwa alijua kuwa Kikwetete angegeuza ufunguzi wa bunge kuwa uwanja wa siasa! Labda hivo.
Lakini mbona hata Sumaye,premier of all time wa Mkapa naye hahudhurii mara kwa mara hizi hafla za rais Kikwete?
 
Ni kweli hata mwendawazimu hawezi kuwalinganisha huyo na huyu
- Aliyejenga mabarabara mara mbili ya idadi ya kilomita alizozikuta
- Aliyejenga madaraja makubwa sana 3 kati ya 5 aliyoyaahidi Nyerere
- Aliyeleta vyuo vikuu zaidi ya 44 ? mara 4 zaidi ya waliowakuta
- Aliyezesha wanafunzi 160,000 wa vyuo vikuu mara 4 zaidi ya aliowakuta
- Aliyejenga chuo kikubwa kuliko vyote EAC.
- Aliyejenga chuo kikubwa cha sayari kwenye ukanda huu cha Nelson Mandera
- Aliyepeleka sekondari hadi kwenye kata
- Aliyezalisha umeme wa mega wait 1500 mara mbili zaidi ya alioukuta
- Aliyeanzisha umradi wa kupeleka umeme vijijini?
- Aliyewaunganishia umeme toka 12% alipochukua madaraka mpaka 21%
- Anayejenga bomba la gesi kubwa toka Mtwara hadi DAR
- Anayejenga barabara ya mabasi yaendayo haraka.
- Anayekubalika na viongozi wote wakubwa wa Dunia hii
- Aliyeanzisha hospital ya tiba ya moyo nchini
- Aliyeanzisha hospital ya kisasa ya kinywa
- Aliyesogeza huduma za afya karibu na wananchi
- Aliyejenga miundombinu ya afya
- Aliyeboresha huduma ya maji nchini
- Aliyeongeza ajira nchini


Ndaga fijo baba...........tuendelee au tusiendeleeee!!!!
 
Usted tiene la edad que usted es joven o eres menor de 14 años, este es el problema de los padres dejando su portátil en casa sus resultados son estos niños en estos días no quieren involucrarse en el deporte para fortalecer su salud en lugar de encerrarse en un ordenador portátil de los padres para charlar ignorancia. No había niños de extrañar en estos días están sufriendo con el problema de los espaguetis.

Naona hapa JF kumeingiliwa na Trojan. Labda mwaka huu mpya hatuja update Kaspersky anti-virus ya 2014??? au sijui ndio wanachati humu kwa bure bure tu.

Wanatutoa KAPA (sio Ben)
 
Naona hapa JF kumeingiliwa na Trojan. Labda mwaka huu mpya hatuja update Kaspersky anti-virus ya 2014??? au sijui ndio wanachati humu kwa bure bure tu.

Wanatutoa KAPA (sio Ben)
kwi kwi kwi kwi kwi!
 
ni kweli lazima pawepo na busara hasa kwa yule ambaye hayupo madarakani
 
Êtes-vous un congolais, rwandais ou jamais vécu en France? Vous effrayer l'enfer hors de moi, vous man.But traduit contrairement à ce que je voulais dire, vous induit en erreur peopl.o

Are you a Congolese, Rwandan or never lived in France? You scare the hell out of me, you man.But results contrary to what I meant, you misled peopl.o
mwanangu mie mmbongo piwaa na miaka 23 toka mwenge ukimbizwe nilicheza gwaride ktk uwanja wa sheikh Amri Abeid-mgeni rasmi akiwa mwl nyerere na rsm akiwa getuuuu bint wa miaka 8,ambaye Mwalimu alijitolea kumsomesha.
 
Ben ni mwerevu na ana misimamo ni vigumu mno kumburuza.
 
Kwa heshima ya mkapa na weledi wake na utashi wake na akili zake na busaara zake na .... meeeeengi!!! Hata mimi ningekuwa yeye nisingekanyaga popote alipo!!!! hivi mtu anaona eti mawaziri wako walikuwa wala rushwa anawafungulia kesi!!!! Halafu wale wa kwaka wanaongoza hadi kwa kuuza twiga wetu na nyara kibao na wezi kupindukia eti unawaangalia eti!!! Kisa shwahiba!!! Mkapa alifanye mengi mazuri na yale mabaya yaacheni!!! Kuna siku aliwahoji kuwa!!!! Kama mnalalamika yeye hakufanya vema, sasa hata kile kidogo chema alichoacha kama legacy mmekifanyia nini? Mwacheni akae, atanye kazi zake!!! the man is very busy na Taasisi yake!!! Anafanya mambo makubwa ya kiuchumi duniani katika dialogue mbalimbali!!! Kwani wakati wa kukabidhiwa rasimu mlimuona?? Hawezi kuwepo!!! Keep on moving Mkapa, wewe ni intellectual!!
 
Back
Top Bottom