Chama cha ACT ni kizuri sana Na kinapendwa kwa kuwa kinatupa viroba na buku mbili kukesha JF.
act inajiandaa kushika dola!
Chama cha ACT ni kizuri sana Na kinapendwa kwa kuwa kinatupa viroba na buku mbili kukesha JF.
ACT itajenga kiwanda cha ndege mwandiga. CCM wameshindwa kupageuza Dubai
We lazima unatoka Kiziba!!
kweli mkuu. ACT pia itajenga viwanja vya ndege, kiborloni, kibosho, machame, uru kishumundu, tengeru, usa river, arumeru, unga limited, sakina, sanawari, sombetini
maendeleo gani?
mkapa est craignant d'être lié à kikwete failures.he est sans aucun doute le meilleur président de ce pays ait jamais eu.
deni la taifa hata likifikia trilioni 1000000000 linakuathiri vipi wewe kilaza?
Bravo bravo bravo, nice performance man, kama ni matusi yakurudie mwenyewe
Unaonaje deni likikua lakini maendeleo yakaonekana? Hata Serikali pia inawapa mikopo wanafunzi ili wasome elimu ya juu(vyuo vikuu) kumbuka ni Kikwete ndiye aliyeamua hata wanafunzi wanaosoma vyuo vikuu binafsi nao wakopeshwe, Hapo kabla haikuwa hivyo
Donnez-moi le respect que je deserve.Thanks pour admettre que la manière truth.By Pourquoi devriez-vous insulter? Vous ne me fait rien wrong.I profiter juste beaucoup de votre ignorance de la langue française ... ha ha ha ha ha ! C'est très drôle, vous savez!!
-Impact ya uchumi unayotaka wewe ni ipi unataka pesa utiliwe mvukoni?Ni sawa mkuu lakini hizo trilioni zote hazionekani kuleta impact ya uchumi kwani barabara zinajengwa chini ya kiwango,elimu haijali ubora,uwekezaji kwenye gesi utawapa faida makampuni ya nje zaidi,ufisadi na matumizi mabaya vinazidi kuongezeka!Itafika wakati tunalipa deni hatuna barabara,hatuna maji na tuna wasomi wengi wasiojitambua wenye vyeti lukuki pasipo maarifa!Tutalaaniwa na vizazi vijavyo kwa ubinafsi wetu
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
we taahira tuambie deni la taifa limekuathiri vipi?
-Impact ya uchumi unayotaka wewe ni ipi unataka pesa utiliwe mvukoni?
-macho hayaoni basi hata akili nayo haoni?
-huoni hata wamachinga waliokuwa wanatembeza vitu mikononi hivi sasa wanamiliki bodaboda?
-inafikia watu wanamiliki vyombo vya usafiri mpaka inakuwa kero hiyo siyo impact ?
-mpaka bajaji na bodaboba zinapigwa marufuku kuingia mjini hiyo siyo impact?
-nchi gani katika nchi za EAC umesikia zimekuwa nyingi mpaka zimepigwa marufuku?
Umesahau.....ana list Ia wauza unga na meno ya tembo lkn uharifu huo unaongezekaNi kweli hata mwendawazimu hawezi kuwalingainisha huyo na huyu
- Aliyejenga mabarabara mara mbili ya idadi ya kilomita alizozikuta
- Aliyejenga madaraja makubwa sana 3 kati ya 5 aliyoyaahidi Nyerere
- Aliyeleta vyuo vikuu zaidi ya 44 ? mara 4 zaidi ya waliowakuta
- Aliyezesha wanafunzi 160,000 wa vyuo vikuu mara 4 zaidi ya aliowakuta
- Aliyejenga chuo kikubwa kuliko vyote EAC.
- Aliyejenga chuo kikubwa cha sayari kwenye ukanda huu cha Nelson Mandera
- Aliyepeleka sekondari hadi kwenye kata
- Aliyezalisha umeme wa mega wait 1500 mara mbili zaidi ya alioukuta
- Aliyeanzisha umradi wa kupeleka umeme vijijini?
- Aliyewaunganishia umeme toka 12% alipochukua madaraka mpaka 21%
- Anayejenga bomba la gesi kubwa toka Mtwara hadi DAR
- Anayejenga barabara ya mabasi yaendayo haraka.
- Anayekubalika na viongozi wote wakubwa wa Dunia hii
- Aliyeanzisha hospital ya tiba ya moyo nchini
- Aliyeanzisha hospital ya kisasa ya kinywa
- Aliyesogeza huduma za afya karibu na wananchi
- Aliyejenga miundombinu ya afya
- Aliyeboresha huduma ya maji nchini
- Aliyeongeza ajira nchini
cada uno sabe cómo usar google transalator así detener este comportamiento estúpido
Kwenda Mwanza na Songea tulikuwa tunatumia wiki lakini hivi sasa tunaenda kwa siku moja je hilo nalo hulioni? Uchumi haupo hapo? acha kukariri kama kasuku. Hata hiyo blackBerry yako ya kichina imetokana na nguvu ya kiuchumi.Itakuwa vigumu kukuelewesha kwa kuwa kwako wewe nchi ni Dar pekee,huku kwingine mikoani mnapaona kama mbuga za wanyama tu!Sijui kama unajua kuwa nchi hii hii kuna sehemu bado usafiri wa punda ndio mkombozi!Machinga wa kwetu hata mlo mmoja tu ni mashaka sembuse kununua boda boda?Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Ujinga wa jk uko wapi?