Maji wameanza kutoka hapo Nairobi?Kenya tuko vizuri kuzidi mataifa yote ukanda huu na lazima tuwakumbushie hili kila siku, msiotaka kuskia acheni kusoma taarifa za Kenya mtapata amani.
Maji wameanza kutoka hapo Nairobi?Kenya tuko vizuri kuzidi mataifa yote ukanda huu na lazima tuwakumbushie hili kila siku, msiotaka kuskia acheni kusoma taarifa za Kenya mtapata amani.
Najua ni kiasi gani unaumia ila vumilia tu na nyie mtajenga miaka 50 ijayoUnajua neno train inamaana gani ama lazima nitafsiri kwa lugha ya kiswahili? Mbona unanionyesha electric poles? Nabakia na kauli yangu kuwa Dar haina electric train
Hii barabara ya ubongo haijawahi kukamilika?
Hii ikifanyika kwamba magari yatapita juu kesho basi uje uposti video hapa.
Good question..Maji wameanza kutoka hapo Nairobi?
Hongera. Naona mnaikaribia Kenya kwa maendeleo. Kama hii barabara imeanza kutumika basi mnaendelea vizuri
Hii ikifanyika kwamba magari yatapita juu kesho basi uje uposti video hapa.
Thanks man, but there's no 3 level interchange in Kenya, ila tungependa na ninyi muwe nayo zen tuendelee na battle mkuu.Hongera. Naona mnaikaribia Kenya kwa maendeleo. Kama hii barabara imeanza kutumika basi mnaendelea vizuri
na hiyo hapoHii ikifanyika kwamba magari yatapita juu kesho basi uje uposti video hapa.
Inatosha mkuu, tusubiri kubwa nyingine, heheheheheeee huu mwaka huu lazima wakohoena hiyo hapoView attachment 1463705
Muungwana akivuliwa nguo huchutama. Badala ya kujibu hoja iliyokushinda ya ipi (kati ya GDP na GDP per capita) ni sahihi zaidi kutumika kwenye kulinganisha uchumi wa maeneo mawili umekurupuka na matusi. Anyway, hunishangazi, kutukana ni tabia ya Wakenya. Hadi hapo umejijibu mwenyewe kuwa ulienda kusoma shuleni na hukuelimika. Nampa pole mtu na akili zake katupa ada kwa ajili yako.Wewe huwezi kunifunza jambo lolote kuhusu mambo ya uchumi. Eti sasa unanifunza tofauti kati ya Gdp na Gdp per capita, jambo ambalo tunasoma tukiwa first year kwa course la macroeconomics. Tuliza nyege dogo, hujui mengi duniani.
Amekosa hoja, Nyangau huyo.Muungwana akivuliwa nguo huchutama. Badala ya kujibu hoja iliyokushinda ya ipi (kati ya GDP na GDP per capita) ni sahihi zaidi kutumika kwenye kulinganisha uchumi wa maeneo mawili umekurupuka na matusi. Anyway, hunishangazi, kutukana ni tabia ya Wakenya. Hadi hapo umejijibu mwenyewe kuwa ulienda kusoma shuleni na hukuelimika. Nampa pole mtu na akili zake katupa ada kwa ajili yako.
hahaha ina electrical train infrastructure! Kunyaland inayo?Dar haina electric train. Wacha kuota mchana.
Behind kwa kenya kwny nn hebu jaribu kuwa specific, mana me naona daily cc ndo tunawasaidia Kenya.Tukohoe juu ya Ldc Nonsense over our dead bodies.Kenya izo bara bara zimejaa vijijini hadi tumezichoka.Kwa vile nyie ni Ldc it's a big deal.Sorry but u still behind Kenya no matter what
Hatuna. Hamjamaliza kujenga infrastructure. Fungeni mdomo.hahaha ina electrical train infrastructure! Kunyaland inayo?
even before completion, we r ahead of as far as modern rail infrastructure is concerned mind u ur SGR trains r no different to our MGR roling stocks!Hatuna. Hamjamaliza kujenga infrastructure. Fungeni mdomo.
Wewe hunijui shida yako ni gani? Nani hajui Gdp per capita ndio njia bora zaidi kushinda Gdp kwa kupima level of economic development and human development. Ila hata hio Gdp per capita unayoringa nayo sana pia ina mapungufu yake ikiwemo kutoweza kutake into account the poor people in society. Kwa mfano USA ina Gdp per capita kubwa sana, zaidi ya $40,000 ila ukitegemea kujua level ya unasikini na kujua watu wangapi ni masikini USA basi Gdp per capita haitakueleza hayo. Utajidanganya kuwa USA kila mtu anapata kipato cha zaidi ya $40,000 au $50,000 basi utashangaa kujua kuwa kuna watu masikini wakutupwa huko. Gdp per capita ni average cha mapato cha kila mtu katika nchi fulani. Ukitaka kujua kuhusu standard of living basi utatumia kigezo cha "human development index" yaani HDI. Ukitaka kujua level of income inequality basi utatumia kigezo cha Gini coefficient. US ina Gini coefficient kubwa kumaanisha watu wachache wanamiliki mali mengi na watu wengi katika nchi hiyo wanamiliki mali kidogo. Kwa hivyo usije hapa kuringa na Gdp per capita uliojifunza jana kwa sababu hio ina mapungufu yake na wachumi waliobobea wanatumia vigezo vingine kujua hali halisi katika uchumi fulani. Rudi tena useme mimi sio mchumi. Shenzi type.Muungwana akivuliwa nguo huchutama. Badala ya kujibu hoja iliyokushinda ya ipi (kati ya GDP na GDP per capita) ni sahihi zaidi kutumika kwenye kulinganisha uchumi wa maeneo mawili umekurupuka na matusi. Anyway, hunishangazi, kutukana ni tabia ya Wakenya. Hadi hapo umejijibu mwenyewe kuwa ulienda kusoma shuleni na hukuelimika. Nampa pole mtu na akili zake katupa ada kwa ajili yako.
Wacha kuota. Your rolling stocks are cape gauge or metre gauge or whatever the gauge. Our rolling stock is standard gauge. Pengine hata huelewi standard gauge ni kipimo kiasi gani. Niulize mimi kama hujui nikuambie.even before completion, we r ahead of as far as modern rail infrastructure is concerned mind u ur SGR trains r no different to our MGR roling stocks!
This has to be in your dreams.even before completion, we r ahead of as far as modern rail infrastructure is concerned mind u ur SGR trains r no different to our MGR roling stocks!
This has to be in your dreams.