Kuna mwanamke kazini ananichukia bila sababu

Kuna mwanamke kazini ananichukia bila sababu

Wakuu kwema Kuna mdada kazini tulikuwa vi tukonae vizuri mwanzo
From no where akaanza kunichukia bila sababu,chuki imekuwa kubwa mpaka anisalimii
Nashindwa kumuelewa wakati mimi ni mkuu wake wa kazi
Nawaza labda anataka dudu la yuyu
Dawa yake ni moja tu na ni muhimu sana.

Wewe mpende zaidi sasa.....

Na Mwenyezi Mungu atakubariki na kukuangazia makubwa usiyoyajua dhidi yake
 
Mpo industry gani?

Post yake ni ipi yako ni ipi?

Hii ni kazi yako ya ngapi?

Hii ni kazi yako ya ngapi kwa post hii hii?
Sisi ni watumishi wa afya ,mimi ni mkuu wake wa kituo .
Mimi ni AMO yeye ni ANO
Hii ni kazi yangu ya kwanza serikalini ,japo nilifanya Sana privates kabla sijaingia serikalini.
 
Achana naye, we endelea na kazi, wala usiwe na mawazo ya ngono.
Fanya amani na watu wote, muonyeshe upendo in return, fanya consistently, ukijifanya mambo ya nyege, ndo atazidi kukuchukia na kama hana hisia na wewe, atakutengenezea zengwe uharibu heshima yako pale.
Nmemwambia
 
Dawa yake ni moja tu na ni muhimu sana.

Wewe mpende zaidi sasa.....

Na Mwenyezi Mungu atakubariki na kukuangazia makubwa usiyoyajua dhidi yake
Asante kwa ushauri ,japo kwa upande wangu nilipunguza kumtuma na kumpa fursa za semina .
Lakini naona anazid kunichukia Zaid, nilishawahi kumuandikia barua lakini hajawahi kujirekebisha .
Kwa experience yangu naona hivi ninavyoishi nae ni sahihi ,kwa sababu nakwepa mambo mengi Sana.
Ebu fikiria unaweza kujitoa ufahamu halafu akakujibu vibaya ,ukashindwa kujicontrol ukimgusa tu jua tayari umeyakanyaga
 
Boss ndio una andika kama hivi!

Natamani niwaone ao wafanyakazi walio chini yako.
Yote kwa yote, tafadhali kaa mbali na wanawake maeneo ya kazini.
Mimi kwa upande wangu naona nime emprove Sana kwenye kuandika .
Everything need exercise ,unaweza kuwa msomi mzuri lakini usijue kupangilia vizuri maneno
Napenda Sana kusahihishwa
 
Asante kwa ushauri ,japo kwa upande wangu nilipunguza kumtuma na kumpa fursa za semina .
Lakini naona anazid kunichukia Zaid, nilishawahi kumuandikia barua lakini hajawahi kujirekebisha .
Kwa experience yangu naona hivi ninavyoishi nae ni sahihi ,kwa sababu nakwepa mambo mengi Sana.
Ebu fikiria unaweza kujitoa ufahamu halafu akakujibu vibaya ,ukashindwa kujicontrol ukimgusa tu jua tayari umeyakanyaga
Barua kuwa aache kukuchukia?
 
Back
Top Bottom