Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 45,278
- 37,074
Dawa yake ni moja tu na ni muhimu sana.Wakuu kwema Kuna mdada kazini tulikuwa vi tukonae vizuri mwanzo
From no where akaanza kunichukia bila sababu,chuki imekuwa kubwa mpaka anisalimii
Nashindwa kumuelewa wakati mimi ni mkuu wake wa kazi
Nawaza labda anataka dudu la yuyu
Wewe mpende zaidi sasa.....
Na Mwenyezi Mungu atakubariki na kukuangazia makubwa usiyoyajua dhidi yake