assassin eagle
Senior Member
- Apr 23, 2022
- 113
- 451
- Thread starter
- #41
Huwezi kumtuma akakubali ,yaani anakiburi hatari .Barua kuwa aache kukuchukia?
Mwanzo hakuwa hivi
Huwezi kumtuma akakubali ,yaani anakiburi hatari .Barua kuwa aache kukuchukia?
Zungumza nae mjadili iwapo anataka aame kitengo asiwe chini yako. Zungumzeni. Au hata ukimwita haji?Huwezi kumtuma akakubali ,yaani anakiburi hatari .
Mwanzo hakuwa hivi
Sababu ipo. Hata kama ni ya kipuuziHii inaweza kuwa sababu, ila mdau yeye Kasema anamchukia yeye bila sababu.
Nilitaka kuona ikiwa anaamini anastahili kua juu yako.Sisi ni watumishi wa afya ,mimi ni mkuu wake wa kituo .
Mimi ni AMO yeye ni ANO
Hii ni kazi yangu ya kwanza serikalini ,japo nilifanya Sana privates kabla sijaingia serikalini.
JD yako inakupa mamlaka ya kumuwajibisha?Huwezi kumtuma akakubali ,yaani anakiburi hatari .
Mwanzo hakuwa hivi
Fanya nilivyokwambia kaa nae mbali ishi nae hivyo hivyo siku akiona azioni damu zake kule chini atakaa sawa,Asante kwa ushauri ,japo kwa upande wangu nilipunguza kumtuma na kumpa fursa za semina .
Lakini naona anazid kunichukia Zaid, nilishawahi kumuandikia barua lakini hajawahi kujirekebisha .
Kwa experience yangu naona hivi ninavyoishi nae ni sahihi ,kwa sababu nakwepa mambo mengi Sana.
Ebu fikiria unaweza kujitoa ufahamu halafu akakujibu vibaya ,ukashindwa kujicontrol ukimgusa tu jua tayari umeyakanyaga
Sijabana Sana ila walau nimebanana ,Nilitaka kuona ikiwa anaamini anastahili kua juu yako.
Umezuia upigaji deal hapo kituoni? Ukipiga deals unamhusisha?
Inanipa mamlaka ya kumpa onyo ,JD yako inakupa mamlaka ya kumuwajibisha?
Fanya kilichokutuma kazini. Akikuchunia ni maamuzi yake wewe piga kazi wala usijichanganye kumtafuta zaidi. Women look like snake some time the hide to bite you and that is the end of you.Wakuu kwema Kuna mdada kazini tulikuwa vi tukonae vizuri mwanzo
From no where akaanza kunichukia bila sababu,chuki imekuwa kubwa mpaka anisalimii
Nashindwa kumuelewa wakati mimi ni mkuu wake wa kazi
Nawaza labda anataka dudu la yuyu
Nadhani ni sababu ya promotion ,kwangu mimi fursa zinampata anaefanya kazi na tunaona matokeoKuchukiwa lazima kuwe na sababu, ziweke hapa tukusaidie maana wewe unajua nini chanzo
Funguka tukupe michango yetu na ushauri
Bila hivyo tutapiga ramli tu
Kwa kisa haumgongi anagongwa na wanaume wengine wakati wewe pia ni mwanaume, umeelewaHivi mwanamke kama ni rika lako anaweza kukuchukia kwa kipi hasa?
Kwa hiyo ni wivu kaziniNadhani ni sababu ya promotion ,kwangu mimi fursa zinampata anaefanya kazi na tunaona matokeo
Wewe kila sehemu una haribu ,utapenda kwenda semina tu ,ila ukitoka huko una relax .
Hufanyii kazi uliyofundishwa huko .
Watu wa kituo cha afya wakiwa hawaelewani wagonjwa itakuaje? Vifo vipi?Fanya kilichokutuma kazini. Akikuchunia ni maamuzi yake wewe piga kazi wala usijichanganye kumtafuta zaidi. Women look like snake some time the hide to bite you and that is the end of you.
Mi naona balaa linaanzia hapa.Sijabana Sana ila walau nimebanana ,
Wakati naingia mapato yalikuwa hayafiki laki 2
Lakini now tunachezea mil 3.5
Dili zangu nyingi zinatokana na jinsi ninavyokusanya .
Mimi ni mkuu wa kituo ,kazi za kujiripa ni nyingi .
Yaani nikipigika naenda tu hata kutoa elimu sehemu fulani .
Najiandikia per dm
Wenyewe maokoto nimewaachia baadhi ya sehemu ila ndio hivyo inahitaji kujituma Sana.
Data hazidangaji ukifanya uzembe utajulikana tu na utawajibishwa .Watu wa kituo cha afya wakiwa hawaelewani wagonjwa itakuaje? Vifo vipi?