Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 770
- 1,899
Kuna muda ukipata hela wenzako unaofanyanao kazi kama wanajua umepata hela ni bora kuweka Airplane mode kuepuka Mizinga 😃, simu zitaingia Kama zote, utasikia Mkuu mbona kimya unaniachaje!
KindegeKuna muda ukipata hela wenzako unaofanyanao kazi kama wanajua ni bora kuweka Airplane mode kuepuka Mizinga 😃 , simu zitaingia Kama zote , utasikia Mkuu mbona kimya unaniachaje
Bora kuweka kindegeKindege
Kazi kweli kweli🤣🤣🤣kumbe
ukiweka kindege kwa cm yako kuna baadhi ya vitu huwez kufanya kama
-kupiga na kupata cm
-kutuma na kapata sms
-kuperuzi mitandao kwa internet
badala ya kuweka kindege piga "code"tu yaan hawataweza kukupigia wala kuku text ila wew utampigia na kumtext unaemtaka kwisha
Na huo mguu kwenye picha hapo , hayo ni majaribumkuu lunch hii unaniachaje
Makavu bila chenga 😀😀Kama hujawahi kunipigia mwaka mzima, ukinipigia vile umejua muamala umesoma nakuchana tu live
Hio inawaje nipe ufafanuziPiga *35*0000#
Hutojuta
Sasa utaiweka milele mkuu...Kuna muda ukipata hela wenzako unaofanyanao kazi kama wanajua umepata hela ni bora kuweka Airplane mode kuepuka Mizinga , simu zitaingia Kama zote , utasikia Mkuu mbona kimya unaniachaje
Kusaidiana sio kwa style hio ya kuomba pesa ya mtu kisa unajua amepataAcha ubinafisi.
Maisha ni kusaidiana.
Plz nielekeze hiyo code wanawekajeukiweka kindege kwa cm yako kuna baadhi ya vitu huwez kufanya kama
-kupiga na kupata cm
-kutuma na kapata sms
-kuperuzi mitandao kwa internet
badala ya kuweka kindege piga "code"tu yaan hawataweza kukupigia wala kuku text ila wew utampigia na kumtext unaemtaka kwisha😂😂😂😂
Hhhhhhmkuu vipi sasa kibunda iko ni save ata wa tano aisee
inaitwa call barring mkuuPlz nielekeze hiyo code wanawekaje