Kuna muda huwa siwaelewi Watanzania na huenda ndiyo maana baadhi ya Mataifa jirani na makubwa yanatudharau bila Sisi kujijua

Unajua huu upuuzi wenu mtamfanya mama yenu kura za kanda ya ziwa hazikose sijui wachaga mtaweza kumuingiza madarakani kwa kura za kaskazini ambazo zote zimeshindwa kumpa hata ubunge Mbowe.

..CCM haitegemei sanduku la kura kushinda uchaguzi.

..awamu ya 3 kulikuwa na chama cha UDP na kiliitwa chama cha Wasukuma lakini bado CCM ilikuwa inashinda.

..ondoa kabisa mawazo kwamba kuna kanda fulani inaweza kuizuia CCM kushinda uchaguzi wakati tume ya uchaguzi na wasimamizi wa uchaguzi wote ni makada wa CCM.
 
Ni Watanzania Sisi ( GENTAMYCINE ) nikiwemo wakati wa Uongozi wa Hayati Rais Dkt. Magufuli tulikuwa tunalalamika Mzunguko wa Hela ni mgumu na hata Kumlaumu Hayati kwa kutokupenda Kwake ' Kujichanganya ' na Mataifa Jirani na hata Makubwa ili Maendeleo ya haraka yapatikane na Ustawi wetu uwepo.

Haya hivi sasa tuna Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan ambaye taratibu anaanza ' Kujjtanua ' kwa Kushirikiana na Mataifa Jirani na Makubwa hadi Kuwavutia Wawekezaji wakubwa ili aweze kurudisha Mzunguko wa Pesa nchini, Miradi mingi itakayochochea upatikanaji wa Fursa za Ajira ili akina GENTAMYCINE tuondokane na Umasikini ( Unyonge ) wa Kipesa tulionao tumeanza tena ' Kumzodoa ' na ' Kumzoza ' Mama wa Watu kuwa sijui anauza nchi na anaipeleka nchi kubaya.

Hivi Watanzania tunataka nini? Tunajitambua kweli? Hizi Nongwa na huu Unafiki wetu ' uliotutukuka ' zina Faida gani? Ni kwanini tunakuwa ni Watu tu wenye Majungu, Visununu, tusiokuwa na Uvumilivu wala Shukrani? Tumelorogwa na nani ili tuwaombe Viongozi wa Kidini watuombee au tufunge tumlilie Mwenyezi Mungu?

Mama wa Watu masikini ( Rais Samia Suluhu Hassan ) hana hata Siku 100 tu Ofisini tayari kuna Mifalme Njozi ' Mipopoma ' inajifanya imeshajua kule ambako anatupeleka wakidai kuwa anatupoteza na kwamba hawezi Kuongoza kama ilivyokuwa kwa Mtangulizi wake Hayati Rais Dkt. Magufuli.

Leo hii baadhi yetu tunamsema kwanini Mama ( Rais Samia Suluhu ) ana ukaribu mno na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na kwamba ndiyo anamuongoza Kiuongozi kitu ambacho hata hivyo Mimi GENTAMYCINE sioni tatizo lolote lile juu ya hilo.

Mbona wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli alivyokuwa Madarakani alikuwa na ukaribu sana na Rais Mstaafu Hayati Benjamin Mkapa na ndiyo alikuwa akimuongoza na tulikuwa hatusemi?

Kama Great Thinkers, Academicians na Think Tanks wa Tanzania tunaacha Kumsaidia Mama ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) kwa Ushauri na Mawazo ' very Constructive ' ya kuitoa Tanzania yetu hapa ilipo na ikimbizane na Mataifa mengine Kutwa tu tunakalia Majungu, Umbea, Wivu na Unafiki.

Kwako Mheshimiwa Rais wangu ( wetu ) Mama Samia Suluhu Hassan tafadhali nakuomba Ongoza nchi kwa ' Style ' yako na kamwe usitusikilize Sisi ' Wanafiki Wakomavu ' wa Kitanzania tusio na hata chembe ya Uvumilivu na Shukrani ndani ya Mioyo yetu na Roho zetu pia.

Kitabu cha Rais Hayati Dkt. Magufuli kimeshafungwa na sasa ni wakati wa Kuandika Kitabu chako na Wewe ukiingia tu katika Mtego wa Kusikiliza ' Majungu ' yetu Sisi ' Waswahili ' utapoteza Dira yako na ndiyo utakosea na Kuongoza nchi vibaya kisha utakuwa umeshawapa ' Waswahili Wanafiki ' cha Kusema na ' Nongwa ' zao ( zetu ) kuzidi.

Chapa Kazi Mama yetu ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) TUNAKUPENDA na tutakuombea MAFANIKIO kwa Mwenyezi Mungu ( Allah ) na Binafsi kama GENTAMYCINE wala sina Shaka nawe kwani najua unaweza, una uzoefu na una bahati na kupata Washauri wazuri ambao Ndoto zao ni Kuona Watanzania wanafurahi Kiuchumi, Kiustawi na Kimaendeleo pia.

Dozi hii 'Mujarab' iwaingieni vizuri mno.
Umesahau kuwa katika siasa za hapa JF kuna usimba na uyanga. Okwi akiwa simba, yanga wanamuona ni ghalasa. Ila akienda Yanga simba wanasema ‘huyo kaisha’. Akirudi Simba wanasema wamepata kifaa.
Katika siasa kuna wazalendo na wapinzani wao hasa hapa JF. Tuvumiliane
 
Hayati Hana zuri lolote zaidi ya ushetani wake na udikteta ,,wanaomuunga mkono Hayati wengi ni mazuzu wasiojitambua na wasukuma wenzie
According to u. Juzi nilikutana na kichaa akiwa anamwambia mpita njia(USIPITE HAPO WE KICHAA!) 😂😂😂 ndo hapoo nikaelewa na saiz nimekuelewa vzr tuu maana nilishapata funzo zuri tuu😂😂
 
Absolutely Rubbish..!!!
Jibu hoja siyo kutoa povuu😂😂. Nendeni zambia mnakosema biashara zinaenda, totaly colonized na wachina😂😂. Ila sikushangai maana nilisikia kundi flan hv wakisema kuliko kuzaliwa tanzania bora kuwa mbwa ulaya🧐🧐
 
According to u. Juzi nilikutana na kichaa akiwa anamwambia mpita njia(USIPITE HAPO WE KICHAA!) 😂😂😂 ndo hapoo nikaelewa na saiz nimekuelewa vzr tuu maana nilishapata funzo zuri tuu😂😂
mazezeta Kama wewe ndio bado mnaota kuwa Kuna siku mungu wenu wa chatto atarudi
 
tayari kuna Mifalme Njozi ' Mipopoma ' inajifanya imeshajua kule ambako anatupeleka wakidai kuwa anatupoteza na kwamba hawezi Kuongoza kama ilivyokuwa kwa Mtangulizi wake Hayati Rais Dkt. Magufuli.
hii mipopona ni ile iliyokuwa inakula njama kutaka kutenda kosa la kumwongezea mwendazake muda wa kutawala kwa kutaka kubadilisha katiba ya nchi.

Hivi sasa ajenda ya kuongeza mihula ya uongozi kuwa 7 haipo tena, kwa sasa imejikita kumkwambisha maza!! hii mipopoma kama inavyojiita ni sumu kali sana ndani na nje ya CCM.
 
A beautiful memory 4 nyumbuzi😂😂

7FF26FB1-2DA2-4D9A-BA07-DF8B6F20B422.jpeg
 
Mwenzako katumia muda wake ili aje na analysis ya maana wewe unaibuka na matope.

Nani asiyejua CHADEMA mnatafuta pa kushika mmepoteana,maana makelele yenu yalikuwa udikteta wa Mwendazake,sasa alikwenda na udikteta wake.

Sasa amekuja mama mpole kama hua mnahaha namna ya kumfitinisha na wapiga kura wake,maana hamna ajenda tena ya ufisadi nayo iliwashinda.

siyo lazima mfanye siasa hata kama imewashinda.
Nani ka kwambia chadema wanapata mhaho na mama ni mijiccm ikiwemo na wewe mkuu wengi wanaolalamikia mama kua karibu na mkwere ni nyienyie hao sio hata chadema
 
Ni Watanzania Sisi ( GENTAMYCINE ) nikiwemo wakati wa Uongozi wa Hayati Rais Dkt. Magufuli tulikuwa tunalalamika Mzunguko wa Hela ni mgumu na hata Kumlaumu Hayati kwa kutokupenda Kwake ' Kujichanganya ' na Mataifa Jirani na hata Makubwa ili Maendeleo ya haraka yapatikane na Ustawi wetu uwepo.

Haya hivi sasa tuna Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan ambaye taratibu anaanza ' Kujjtanua ' kwa Kushirikiana na Mataifa Jirani na Makubwa hadi Kuwavutia Wawekezaji wakubwa ili aweze kurudisha Mzunguko wa Pesa nchini, Miradi mingi itakayochochea upatikanaji wa Fursa za Ajira ili akina GENTAMYCINE tuondokane na Umasikini ( Unyonge ) wa Kipesa tulionao tumeanza tena ' Kumzodoa ' na ' Kumzoza ' Mama wa Watu kuwa sijui anauza nchi na anaipeleka nchi kubaya.

Hivi Watanzania tunataka nini? Tunajitambua kweli? Hizi Nongwa na huu Unafiki wetu ' uliotutukuka ' zina Faida gani? Ni kwanini tunakuwa ni Watu tu wenye Majungu, Visununu, tusiokuwa na Uvumilivu wala Shukrani? Tumelorogwa na nani ili tuwaombe Viongozi wa Kidini watuombee au tufunge tumlilie Mwenyezi Mungu?

Mama wa Watu masikini ( Rais Samia Suluhu Hassan ) hana hata Siku 100 tu Ofisini tayari kuna Mifalme Njozi ' Mipopoma ' inajifanya imeshajua kule ambako anatupeleka wakidai kuwa anatupoteza na kwamba hawezi Kuongoza kama ilivyokuwa kwa Mtangulizi wake Hayati Rais Dkt. Magufuli.

Leo hii baadhi yetu tunamsema kwanini Mama ( Rais Samia Suluhu ) ana ukaribu mno na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na kwamba ndiyo anamuongoza Kiuongozi kitu ambacho hata hivyo Mimi GENTAMYCINE sioni tatizo lolote lile juu ya hilo.

Mbona wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli alivyokuwa Madarakani alikuwa na ukaribu sana na Rais Mstaafu Hayati Benjamin Mkapa na ndiyo alikuwa akimuongoza na tulikuwa hatusemi?

Kama Great Thinkers, Academicians na Think Tanks wa Tanzania tunaacha Kumsaidia Mama ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) kwa Ushauri na Mawazo ' very Constructive ' ya kuitoa Tanzania yetu hapa ilipo na ikimbizane na Mataifa mengine Kutwa tu tunakalia Majungu, Umbea, Wivu na Unafiki.

Kwako Mheshimiwa Rais wangu ( wetu ) Mama Samia Suluhu Hassan tafadhali nakuomba Ongoza nchi kwa ' Style ' yako na kamwe usitusikilize Sisi ' Wanafiki Wakomavu ' wa Kitanzania tusio na hata chembe ya Uvumilivu na Shukrani ndani ya Mioyo yetu na Roho zetu pia.

Kitabu cha Rais Hayati Dkt. Magufuli kimeshafungwa na sasa ni wakati wa Kuandika Kitabu chako na Wewe ukiingia tu katika Mtego wa Kusikiliza ' Majungu ' yetu Sisi ' Waswahili ' utapoteza Dira yako na ndiyo utakosea na Kuongoza nchi vibaya kisha utakuwa umeshawapa ' Waswahili Wanafiki ' cha Kusema na ' Nongwa ' zao ( zetu ) kuzidi.

Chapa Kazi Mama yetu ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) TUNAKUPENDA na tutakuombea MAFANIKIO kwa Mwenyezi Mungu ( Allah ) na Binafsi kama GENTAMYCINE wala sina Shaka nawe kwani najua unaweza, una uzoefu na una bahati na kupata Washauri wazuri ambao Ndoto zao ni Kuona Watanzania wanafurahi Kiuchumi, Kiustawi na Kimaendeleo pia.

Dozi hii 'Mujarab' iwaingieni vizuri mno.
Mkuu, "PAKA" anafanya lini ziara TZ???

Bifu la "PAKA" na Faustin Kayumba Nyamwasa linaendeleaje??

Hongera "MTUTSI" kwa andiko zuri, UNAIPENDA SANA TZ.🙏🙏🙏🤣🤣
 
Rais Samia hawezi kukwepa ukaribu na Mzee Kikwete, ndiye aliyemtoa serikali ya Mapinduzi na kumleta huku Bara. Ni sawa na Arsene Wenger alivyomtoa George Weah kutoka Afrika na kumpeleka Monaco, hakuna siku Weah atakuja kumvunjia heshima mzee Wenger.

Watanzania tumejawa na nongwa, kutokujiamini na zile roho nyepesi za wivu usio na sababu. Huyu Mama anayo haki kabisa ya kutengeneza taswira chanya ya Tanzania kimataifa. Huwezi kupata uwekezaji wa maana kama hushiriki mikutano mikubwa na taasisi kubwa za kimataifa.

Kwa kipindi hiki cha corona ni lazima rais awe na wepesi wa kushiriki zile WEBINAR na video conference na wakubwa wa Ulaya na Marekani. Mama anaweza akafanikisha mengi kuliko hata mtangulizi wake, kwani anaijua faida ya kujishusha wakati anafanya mijadala ya kimataifa.
 
Back
Top Bottom