Kuna Mtu Anautesa Moyo Wangu Hapa JF

alienda iba mke wa mtu
labda kakamatwa
nendeni kitu cha polisi na ITV

afu sijui kamkwiba King'asti

Yamemshinda huyu tatizo lake kazidisha usharobaro. Hivi una taarifa za kaka angu Bishanga sijamuona?
 
Yamemshinda huyu tatizo lake kazidisha usharobaro. Hivi una taarifa za kaka angu Bishanga sijamuona?
We mwache dawa yake inachemka...

Jamani d' nilitegemea wewe ndio unipe taarifa za kakako kumbe na wewe huna tena? Tufuate ushauri wa kongosho.
 
alienda iba mke wa mtu
labda kakamatwa
nendeni kitu cha polisi na ITV

afu sijui kamkwiba King'asti
King'asti toka ndoa yake na Paw iyumbe ameadimika kweli, ana stress mno manake kaponea chupu chupu kulimwa talaka, kama sio mimi na AshaDii angekoma asee! Kumbe Paw mkali mpaka home kwake, nilidhani jf peke ake!

King'asti mke mwenza popote ulipo pole sana kwa maswahiba! Rudi jf manake shemeji Paw keshakusamehe.
 
Muulize hapa hapa nisikie, mambo ya kuitana chemba hakuna!

Nataka nimuulize kama ni kweli Bishanga kapotelea kwake, maana Bishanga alimpeleka konnie kucheki jinsi yake isije ikawa konnie kamgeuka kaka angu
 
King'asti toka ndoa yake na Paw iyumbe ameadimika kweli, ana stress mno manake kaponea chupu chupu kulimwa talaka, kama sio mimi na AshaDii angekoma asee! Kumbe Paw mkali mpaka home kwake, nilidhani jf peke ake!

King'asti mke mwenza popote ulipo pole sana kwa maswahiba! Rudi jf manake shemeji Paw keshakusamehe.

Halafu huyu PAW anawafanya watu wapotee ghafla wanapotaka kugusa alipowekeza
 
Kila nikitembelea profile yake na kuangalia avatar yake ndio inanimaliza kabisa, anaonekana ni mpole na mtaratibu kutokana na avatar yake jinsi ilivyo..

Wonders never cease!
Hivi utamtamanije mtu just from the PC keyboard?
Just an avatar which you are not sure whether it bears the proprietor's genuine attributes? Kweli?
 
Wonders never cease!
Hivi utamtamanije mtu just from the PC keyboard?
Just an avatar which you are not sure whether it bears the proprietor's genuine attributes? Kweli?

Mdimi: watu wananjia nyingi sana za kufahamiana...usimpuuze mwanzisha mada.Subiri uone matokeo yake.Usishangae wanakutembezea kadi ya mchango wa harusi!
 
Kila nikitembelea profile yake na kuangalia avatar yake ndio inanimaliza kabisa, anaonekana ni mpole na mtaratibu kutokana na avatar yake jinsi ilivyo..

dah! Huyu single boy kumbe hajaelewa somo. Pole sana jux. Ngoja tukusaidie kufanya michakato.
 
Back
Top Bottom