muhamad mt 77
Senior Member
- May 10, 2026
- 150
- 209
Mpanda mpka sumbawanga. pia chunya wanavaa hvyo ukienda pia kamsamba utawaona wengi sana mkuuWapo Wasukuma wengi sana vijijini huko wanaovaa hivyo
Mpanda mpka sumbawanga. pia chunya wanavaa hvyo ukienda pia kamsamba utawaona wengi sana mkuuWapo Wasukuma wengi sana vijijini huko wanaovaa hivyo
Mkuu mimi ni ngosha na nimekulia usukumani sijawahi ona wasukuma wamevaa kimasaiWasukuma wamegawanyika, Kuna hao wa maporini na nyie wa mjini
Hao wa maporini bado wanavaa hivyo
Wapi huko mwanike?wapo wale wafugaji wanaishi kanda nyingie huko!
Hii ilikuwa inafanyika sehemu nyingi za vijijini zamani. Nashangaa hawa mpaka sasa wanendeleza huu ujinga. Hata Klimanjaro hususani uchagani ilikuwepo. Kijana akimpenda msichana, anaweza kufanya party ya usiku nyumbani kwake na kualika rafiki zake na wasichana wengi. Anakuwa ameongea eg na dada zake, na kuwaambia wahakikishe yule msichana aliyelengwa anakuja kwenye party. Party inapoanza baada ya kukolea msichana mlengwa anapigwa ambush na kuvutiwa chumbani. Na huo ndiyo unakuwa mwisho wa party, kila mtu anatawanyika ili jamaa amkaze msichana. Sasa kulikuwa na kitu kama imani kuwa msichana hatakiwi kuwa ''laini-laini'' na kukubali kuingiliwa kirahisi. Hapo ndipo ''vita'' ya mieleka ilipokuwa inaanza. Ifahamike kuwa pembeni ya nyumba wanakuwa wamekaa marafiki wa kijana kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa. Basi ndani inakuwa ni patashika kati ya kijana na msichana. Kukuru kakara, msichana akizidiwa jamaa akiingiza mkuyenge msichana anapiga kelele ''uwiii''. Walioko nje wanajua tayari kimeumana. Yaani ni kama sinema ila ilikuwa inatokea mara nyingi tu. Kuna wengine walikuwa wanashindwa kumvua nguo bibi (wanazidiwa nguvu) mpaka wanaingia marafiki kusaidia.There is nothing funny about that, that's clearly sexual harassment
Katavi moja hiyo! Hao ni wachunga ng'ombe wa nyumbani kwetu! Hiyo inaitwa chagulaga!Mmetuvunjia heshima wasukuma
Stop this BS hao ni masai wamejifanya wasukuma
Ila wazanzibari mmetupanda sana kichwani enzi hizi!Kwa mtindo huu si bora tu tubaki na Zanzibar watustaarabishe Watanganyika mkuu😁 ?
Ni kabila gani wao?Katavi moja hiyo! Hao ni wachunga ng'ombe wa nyumbani kwetu! Hiyo inaitwa chagulaga!
Hii ya kunya vichakani ni kawaida yao kabisa mkuu! Kwao huko ndani ndani hakuna vyoo! Baba,mama,watoto kila mmoja amepewa njia yake ya kwenda kutita shambani hukoKabila la hovyo sana hili,si ajabu mpaka leo wanajisaidia vichakani hawaamini katika vyoo
Sukuma ni dubwana kubwa sana. Linaamabaa toka kando ya Ziwa Viktoria hadi mlangoni kwa kina Mwigulu, na huku kote kuna tamaduni tofauti tofauti.Mkuu mimi ni ngosha na nimekulia usukumani sijawahi ona wasukuma wamevaa kimasai
Sukuma ni dubwana kubwa sana. Linaamabaa toka kando ya Ziwa Viktoria hadi mlangoni kwa kina Mwigulu, na huku kote kuna tamaduni tofauti tofauti.Mkuu mimi ni ngosha na nimekulia usukumani sijawahi ona wasukuma wamevaa kimasai
Haishangazi Wakoloni walikuja Africa wachache sana lakini wakatutawala mamilioni ya watu kirahisi sana.Hii ilikuwa inafanyika sehemu nyingi za vijijini zamani. Nashangaa hawa mpaka sasa wanendeleza huu ujinga. Hata Klimanjaro hususani uchagani ilikuwepo. Kijana akimpenda msichana, anaweza kufanya party ya usiku nyumbani kwake na kualika rafiki zake na wasichana wengi. Anakuwa ameongea eg na dada zake, na kuwaambia wahakikishe yule msichana aliyelengwa anakuja kwenye party. Party inapoanza baada ya kukolea msichana mlengwa anapigwa ambush na kuvutiwa chumbani. Na huo ndiyo unakuwa mwisho wa party, kila mtu anatawanyika ili jamaa amkaze msichana. Sasa kulikuwa na kitu kama imani kuwa msichana hatakiwi kuwa ''laini-laini'' na kukubali kuingiliwa kirahisi. Hapo ndipo ''vita'' ya mieleka ilipokuwa inaanza. Ifahamike kuwa pembeni ya nyumba wanakuwa wamekaa marafiki wa kijana kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa. Basi ndani inakuwa ni patashika kati ya kijana na msichana. Kukuru kakara, msichana akizidiwa jamaa akiingiza mkuyenge msichana anapiga kelele ''uwiii''. Walioko nje wanajua tayari kimeumana. Yaani ni kama sinema ila ilikuwa inatokea mara nyingi tu. Kuna wengine walikuwa wanashindwa kumvua nguo bibi (wanazidiwa nguvu) mpaka wanaingia marafiki kusaidia.
Ni bora tu tuwatawanye Wazanzibar kote Tanganyika watuambukize Ustaarabu, mambo ya chagulaga, kunya vichakani na kula ugali mkubwa na maziwa ndio yaishe.Sukuma ni dubwana kubwa sana. Linaamabaa toka kando ya Ziwa Viktoria hadi mlangoni kwa kina Mwigulu, na huku kote kuna tamaduni tofauti tofauti.
Wasukuma wa Mwanza, Geita na Shinyanga wanaweza wasiwe na experience na chagulaga mayu na manguo meusi meusi yanayovaliwa mithiri ya mmasai lakini ukija Mbarali, Mpanda na Kaskazini mashariki mwa Msumbiji unakutana na hawa ngosha ze don ugali mkubwa, chagulaga mayu ni kama kawa.
Hebu tuelezee vizuri, msichana ndie anayechagua sasa kwenye ubakaji tunafikaje? Au ubakaji unaoongelewa ni huo unaoonekana hapo?Hiyo ni chagula system,ni Mfumo ambao Binti anachagua mwanamume kati ya wengi ili aolewe naye,ni Mfumo halali kwa tamaduni za kisukuma
Ok , Mimi nauna kama Mfumo wa kishamba lakini ni Moja ya tamaduni za kisukuma,serikali imekuwa ikiupinga kwakuwa unaviashiria vya ubakaji
Wangekuwa wanaimbisha mmoja mmoja kusingekuwa na tatizo ila sio hivyo wanavyomvutavuta mtoto wa watu hadi analiaInaitwa Chagulaga
Ni mfumo wa vijana wa Kiume wa kabila la Kisukuma kupata mchumba kabla ya kumlipia mahari na kumwoa rasmi
Kinachofanyika ni mabinti waliovunja ungo kupita kwenye kundi la vijana waliofikia Rika la kuoa kisha vijana hao kuanza kuimbisha mmoja mmoja
Atakayekubaliwa ndiye atakayeruhusiwa kuendelea na hatua ya kutoa mahari ambayo kwa utamaduni wao huwa ni ng'ombe
--------++++----++-------
Nimewahi kupita mikoa ya wafugaji wa Jamii hiyo na kuona hayo
Huenda nisiwe sahihi sana
Uko sahihi Mkuu kuna kipindi nilienda huko haswa Bonde la Ziwa Rukwa wengi niliowaona walivalia hivo.Mpanda mpka sumbawanga. pia chunya wanavaa hvyo ukienda pia kamsamba utawaona wengi sana mkuu