Oscar Lyrics
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 2,974
- 5,108
Mambo ya kiwaki
Hii ni moja ya Mila Bora kabisa nchini.
Sidhani , mimi ni baba wa binti ujue , nitaulia mtu hapoKwa sababu wewe pia ni tatizo
Sibarikiwi ndio matatizo ya kuzaa na vilazaa kwa nyie wadada fanyeni kujitambua ,hamtazaa wanaume au wanawake vilaza kamweUtauaje na umesema huoni tatizo, yaani anachofanyiwa huyo binti hapo angekuwa mwanao wewe kama baba unakibariki kwa moyo mweupe kabisa
Bado mmoja tumuite "Kalugogolelo'!Jiandae!Waambie mabinti zako wajitambue mimi nimeshamaliza kuzaa
Hayo mapambo kuyapata ni lazima uwe na hela(ng'ombe)Idadi ya bracelet ndio inazungumza kuhusu kiwango cha utajiri?