Hilo ndio kabila kubwa zaidi Tanganyika, mwanaume mmoja anakuwa na watoto hata 30, kuna mbunge wa hilo kabila juzi kati nimeona amepeleka watoto wake kama 20 hivi bungeni akawa anajisifia sana 😁Sio watanganyika wote tuko hivi mkuu 😁
Mwisho inaonekana miafrika ndivyo tulivyo 😁Baba mtakatifu91 hii ni tamaduni ya wapi, mbona wanatuchafua hawa?
Naona aibu basi tu!Mwisho inaonekana miafrika ndivyo tulivyo 😁
Kwa kweli ni kabila kubwa 😁😁 umewahi kuona wapi kabila moja linachukua mikoa mitatu na bado karibu kila mkoa kuna eneo wamejiweka panaitwa kwa wasukuma😁Hilo ndio kabila kubwa zaidi Tanganyika, mwanaume mmoja anakuwa na watoto hata 30, kuna mbunge wa hilo kabila juzi kati nimeona amepeleka watoto wake kama 20 hivi bungeni akawa anajisifia sana 😁
Bhasukuma bha hale benabo?Baba mtakatifu91 hii ni tamaduni ya wapi, mbona wanatuchafua hawa?
baleho, bhebhe solaga duhu!Bhasukuma bha hale benabo?
wapo wale wafugaji wanaishi kanda nyingie huko!Mmetuvunjia heshima wasukuma
Stop this BS hao ni masai wamejifanya wasukuma
enhe mayu!Kumbe 😁
Hao ni Wasukuma mkuu, huwezi kukuta Wamasai Moran wanafanya huo ujinga.Mmetuvunjia heshima wasukuma
Stop this BS hao ni masai wamejifanya wasukuma
... akienda ngomani watu wakampuuza inabidi aende kwa mganga kuoga GUNDU!Starehe ya upande mmoja, kina starehe yoyote anaipata huyo binti?