de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 12,663
- 25,099
Hakika kamanda life is too shortKuna mambo mengn hata hakuna haja ya kuumiza kichwa
Hakika kamanda life is too shortKuna mambo mengn hata hakuna haja ya kuumiza kichwa
... return to nature what belongs to nature!Kabila la hovyo sana hili,si ajabu mpaka leo wanajisaidia vichakani hawaamini katika vyoo
🤣🤣🤣🫢Kabila la hovyo sana hili,si ajabu mpaka leo wanajisaidia vichakani hawaamini katika vyoo
Usimsapoti mshenjii huyo🤣🤣🤣🫢
Ushamgeuka?Usimsapoti mshenjii huyo
... asikuambie mtu!,... msichana wa huko akienda ngomani watu wakampuuzia huwa analia sana na inabidi aende kwa mganga kung'arisha nyota!Labda ndio mtindo wao wa maisha wanaoridhika nao na kuufurahia.
Mimi ngosha anataka kutupanda kichwaniUshamgeuka?
Don't bring God into this 🤣🤣... asikuambie mtu!,... msichana wa huko akienda ngomani watu wakampuuzia huwa analia sana na inabidi aende kwa mganga kung'arisha nyota!
Uzuri wa msichana huwa unapimwa na jinsi anavyogombewa na hii humpa jeuri hata ya kuomba ng'ombe thelathini kama mahali!
... and God saw it was beautifull!
Ni nini kinaendelea sista huko kwenye vidioBaba mtakatifu91 hii ni tamaduni ya wapi, mbona wanatuchafua hawa?
Mnamgombania binti mdogo sana! shida nini?Ni nini kinaendelea sista huko kwenye vidio
wasukuma tumeharibu nini?!
Una Hakika hao ni wasukuma?Inaitwa Chagulaga
Ni mfumo wa vijana wa Kiume wa kabila la Kisukuma kupata mchumba kabla ya kumlipia mahari na kumwoa rasmi
Kinachofanyika ni mabinti waliovunja ungo kupita kwenye kundi la vijana waliofikia Rika la kuoa kisha vijana hao kuanza kuimbisha mmoja mmoja
Atakayekubaliwa ndiye atakayeruhusiwa kuendelea na hatua ya kutoa mahari ambayo kwa utamaduni wao huwa ni ng'ombe
--------++++----++-------
Nimewahi kupita mikoa ya wafugaji wa Jamii hiyo na kuona hayo
Huenda nisiwe sahihi sana
Nina uhakika Mkuu, nimewahi kuongea nao kwa kukutana face to faceUna Hakika hao ni wasukuma?
Mbona wamevaa kimasai?Nina uhakika Mkuu, nimewahi kuongea nao kwa kukutana face to face
Wasukuma wamegawanyika, Kuna hao wa maporini na nyie wa mjiniMbona wamevaa kimasai?
Haha wenyewe wanaita chagulaga🤣Wasukuma msijifanye hamuelewi
View attachment 3614847