Kuna Msichana kaniandikia kihehe naombeni tafsiri wakuu

inaonekana hawapendi kujishusha alaf ivii bado wanatabia ya kujinyonga ukimuudhi au

mjibu:
" si wi mnofu nda, ne ndi mgaya shida na kugita na veve ndigita na vyanya matengemalilo makomi si nda gako nda"
 
Kuna mmoja jirani yangu alifeli form 4 hapendi marafiki yeye anapenda kukaa pekee yake tu kinaringa hicho, kinadharau kinavaa miwani ukimpa Hii anashusha miwani hadi kwenye pua halafu anakuangalia kuanzia chini ya unyayo wako wa miguu hadi kwenye unywele wako wa kichwa shida tupu...
 
Mjinga tu huyo kaandika lugha usiyoielewa ili iweje?
Mi ningeifuta nikaendelea na yangu.
 
Back
Top Bottom