Kuna Msemaji wa Timu moja namsubiri sana tuone atakavyowadanga 'Majuha' aliowazoea pale Msimu mpya wa NBC Premier League ukianza August 2025

Kuna Msemaji wa Timu moja namsubiri sana tuone atakavyowadanga 'Majuha' aliowazoea pale Msimu mpya wa NBC Premier League ukianza August 2025

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
63,006
Reaction score
126,388
Na namshauri tu kama akiweza safari apige kimya na awaachie Viongozi wake ndiyo wawe Wasemaji ila siyo Yeye tena.
 
Mtoa mada pekee ndiye mtanzania pekee ambaye atakubali kudanganyika katika zama hizi.

Atadanganywa kwa sababu ubongo wake haufanyi kazi barabara.
 
Jamaa anajua akili za mashabiki zao zilivyo, anawapepeta kama mchele vile na wanamuamini balaa.
 
Back
Top Bottom