Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
Hii Nairobi expressway itatuonyesha mambo. Kuna huyu jamaa anapiga 180 kph kwenye Nairobi expressway.
Kwangu naona kama anahatarisha maisha yake na sioni kama ni sawa. Japo jamaa amenishangaza kwa ujasiri alionao. Amepiga Westlands hadi JKIA distance ya takriban 27 kilometres kwa dakika 7 tu.
Kwangu naona kama anahatarisha maisha yake na sioni kama ni sawa. Japo jamaa amenishangaza kwa ujasiri alionao. Amepiga Westlands hadi JKIA distance ya takriban 27 kilometres kwa dakika 7 tu.