Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 5,894
- 11,782
Siingilii personal life na najua watu hasa hawa walioleft group wakiishi maisha yao hawani affect
Lakini moja ya vitu vya hovyo ambavyo hawa watu wanafanya ni kuandaa content ambazo ni very sexualized, au mwanaume unakuta anajilegeza mno
Sasa sikuhizi hadi watoto wadogo wana access na social media wakiona watu wanafanya hivi watoto wanaweza kuona ni kawaida.
Mbona Bongo kwenye mziki tunafanya vizuri sana kuzuia wasanii wasifike mbali, tunaona ukivuka mipaka tu BASATA wanakula sahani moja na wewe, kwa nini wasianze kuweka sheria kwa content creators pia?
Kuna content nyingine zinatia kinyaa, watu wanavuka mipaka
Lakini moja ya vitu vya hovyo ambavyo hawa watu wanafanya ni kuandaa content ambazo ni very sexualized, au mwanaume unakuta anajilegeza mno
Sasa sikuhizi hadi watoto wadogo wana access na social media wakiona watu wanafanya hivi watoto wanaweza kuona ni kawaida.
Mbona Bongo kwenye mziki tunafanya vizuri sana kuzuia wasanii wasifike mbali, tunaona ukivuka mipaka tu BASATA wanakula sahani moja na wewe, kwa nini wasianze kuweka sheria kwa content creators pia?
Kuna content nyingine zinatia kinyaa, watu wanavuka mipaka