Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,695
- 145,389
Content ya +18 unaijuaje hii content ya +18 na hii si ya +18 ni comedy skit tu ya kuchekesha watu?Content za 18+ zinapaswa kuangwaliwa na watu wa 18+ so watu wanapopost content za kipuuzi hovyohovyo bila kujali audience lazima issue ziwe addressed. Kila nchi duniani inafanya hivi
Tatizo lako huwa unakurupuka kujibu hoja. Hutumiagi akili hata kidogo ndio maana huwa ni ngumu kukuelewesha.
Kama mtoto wako anaweza kuwa influenced kirahisi hivyo na hizi videos, una tatizo kubwa la hometraining kupita hizi videos, maana yake huyo mtoto itabidi uwe unamlinda kama bodyguard muda wote.
That will create a very fragile generation that needs to be shielded from life basically.
People have different taste in these things, wewe unachoona matusi wengine wataona utani na kucheka tu.
So where do you draw the line, how do you draw the line? What is appropriate gatekeeping, and what is undue censorship?
Kujibinuabinua midomo tu tayari ni content ya +18?
Utaweza kuangalia Mrs. Doubtfire wewe?
Na TikTok wana sheria zao kuhusu content za +18, ume i flag account kuwa ina content za +18?
Umeiripoti akaunti BASATA na serikalini?
Au unafanya kama kawaida yenu wabongo wengi, kulalamika pembeni kwingi lakini kuripoti mambo panapotakiwa zero?
Hiyo video iko very subject to interpretation na wewe kuishikia bango inaonesha wewe ulivyo homophobic kuliko video kuwa explicit.
Jaribu kujifunza kuishi na watu walio tofauti na wewe na kuwapotezea tu as long as hawakulazimishi kitu.
Hao under 18 wana vitu vingi vya ajabu vya kuona mitandaoni kuliko hiyo video.
Na hao watu wako wa serikali unaowataja kama suluhishi hata hawajui kipi kinakubalika kuwa published na kipi hakikubaliki, at least huyo waziri wenu Gwajima jana nilimuuliza hapa kakimbia swali hakujibu.
Kwa hiyo nakushangaa unatumaini serikali bado.
Hii serikali ya kufanya censorship kisiasa mpaka JF imeifungia kisiasa ndiyo unataka ifuatilie watu na kianza kiwafungia kwa wanavyopost? Unaelewa unintended consequences gani unaenda kutengeneza hapo?
Hapa JF kuna stories kibao explicit. Watu wanaandika, wanapost, wanasoma.
Utataka JF nayo ifungiwe mpaka watu wawe verified kama ni over 18?
Au hiyo ni special kwa unaowaona mashoga tu?