Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Kama tunavyofahamu mwanaume kuna age ikifika umri wako unaanza kuonekana umeenda haswa kuanzia age of 36,40 na kuendelea at this age bado kuna vijana hawajaoa na hata mpango wa kuoa bado kabisa.
Hebu leo tuweze kushare kuna madhara gani ya mwanaume kuchelewa kuoa.
Hebu leo tuweze kushare kuna madhara gani ya mwanaume kuchelewa kuoa.