Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,200
- 5,553
Huyu binti nimetokea kumzimia, ni mwanaharakati kijana, ni mzuri hasa,
Mtoto wa kikurya, Rahma Mwita a.k.a Rahuuu, nimekufatilia kwa muda mrefu huko twitani nikagundua jimbo lipo wazi, kwa ruhusa yako naomba nitangaze nia, nakupenda sana @Rahuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wa kikurya, Rahma Mwita a.k.a Rahuuu, nimekufatilia kwa muda mrefu huko twitani nikagundua jimbo lipo wazi, kwa ruhusa yako naomba nitangaze nia, nakupenda sana @Rahuuu
Sent using Jamii Forums mobile app