Kuna mabinti warembo, alafu kuna Rahma Mwita

Kuna mabinti warembo, alafu kuna Rahma Mwita

.
IMG_20190617_200344.jpeg
 
Huyu binti nimetokea kumzimia, ni mwanaharakati kijana, ni mzuri hasa,

Mtoto wa kikurya, Rahma Mwita a.k.a Rahuuu, nimekufatilia kwa muda mrefu huko twitani nikagundua jimbo lipo wazi, kwa ruhusa yako naomba nitangaze nia, nakupenda sana @RahuuuView attachment 981073

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyu ni mke wa Mtu, ameisha olewa, kuendelea kumsifia ni kumharibia Ndoa yake. Ebu Tafuta mwingine!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom