Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 10,185
- 7,377
Hizi stupid myths za paka ni upotoshaji tu. Kawaida paka hata mbwa wanapojisikia vibaya, huwa wanatoka kwenda kutafuta mahala pa kupumzika kwani hawataki kelele. Ila kama wakizidiwa wanakufa popote pale. Kufilana/kujamiiana wanafanya popote bila hata kujificha, iwe mchana au usiku haina noma.