Paprika
JF-Expert Member
- Feb 25, 2017
- 5,950
- 9,880
Ni wakali sana! Paka akipambana na mbwa, mbwa anasalimu amriHivi kwa nini wanasema ukifungiwa na paka chumba kimoja mpambane anaweza kukuua?
Ni wakali sana! Paka akipambana na mbwa, mbwa anasalimu amriHivi kwa nini wanasema ukifungiwa na paka chumba kimoja mpambane anaweza kukuua?
Kuni swala la mapenzi hii picha itatoa jibu![]()
Asili yao iko hivo mkuu ni wapole ila kwa kuwa mko chumba kimoja na mko kwenye mapambano nae ana jihami kwa kujitutumua na kutoa kuchuka zake kujiandaa kukuparua apate kukushinda ni tofauti iki pambana nae sehemu ya wazi hawez kujihami kwa kukutunua ila atakimbia...kiumbe chochote kile tabia ya kujihami pale anapo mwona adui yakeHivi kwa nini wanasema ukifungiwa na paka chumba kimoja mpambane anaweza kukuua?
ahaaa sawa mkuuAsili yao iko hivo mkuu ni wapole ila kwa kuwa mko chumba kimoja na mko kwenye mapambano nae ana jihami kwa kujitutumua na kutoa kuchuka zake kujiandaa kukuparua apate kukushinda ni tofauti iki pambana nae sehemu ya wazi hawez kujihami kwa kukutunua ila atakimbia...kiumbe chochote kile tabia ya kujihami pale anapo mwona adui yake
Anakosa mahali pa kukimbia, kitu ambacho kinamfanya ajibu mashambulizi kwa kucha zakeHivi kwa nini wanasema ukifungiwa na paka chumba kimoja mpambane anaweza kukuua?
ukikaa vibaya anakuua eeAnakosa mahali pa kukimbia, kitu ambacho kinamfanya ajibu mashambulizi kwa kucha zake
hata mimi,niliwaona juu ya paa ya bar ya Macheche NjombeNimeshawahi kushuhudia paka wakifanya mapenzi, ilikuwa mchana juu ya paa la jengo fulani
Ndiyo anaweza kuzituliza shingoni kucha zakeukikaa vibaya anakuua ee
Shukrani mkuu joseverestahaaa sawa mkuu
Aki kamat kwenye ikuluuu ndo balaa mkuuukikaa vibaya anakuua ee
Mwalimu hii sio exaggeration kweli? (Hyperbole)Chui kabisaaa??Paka akikasirika anavimba na kuwa mkubwa mithili ya chui
OoouhNi wakali sana! Paka akipambana na mbwa, mbwa anasalimu amri
Nani aliongoza mazishi? Yalifanyika Wapi?paka wangu alikufa home nikamzika ....
mapenzi wanajifichaila wapo wasio jificha
Nao wapo makahaba paka na wenye heshima ndiyo maana wengine wanatafunanana peupe.paka wangu alikufa home nikamzika ....
mapenzi wanajifichaila wapo wasio jificha
sawa mkuu nimekuelewa sana shukraniAsili yao iko hivo mkuu ni wapole ila kwa kuwa mko chumba kimoja na mko kwenye mapambano nae ana jihami kwa kujitutumua na kutoa kuchuka zake kujiandaa kukuparua apate kukushinda ni tofauti iki pambana nae sehemu ya wazi hawez kujihami kwa kukutunua ila atakimbia...kiumbe chochote kile tabia ya kujihami pale anapo mwona adui yake
ohooo nomaAki kamat kwenye ikuluuu ndo balaa mkuu
pamojaShukrani mkuu joseverest