Kuna kitu kinaniumiza kuhusu Wanaume

Kuna kitu kinaniumiza kuhusu Wanaume

Be calm

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2023
Posts
3,793
Reaction score
9,069
Nahisi Kuna mambo mnapitia na yanawaumiza ila mmekosa pa kusemea. Wanawake tumepewa kipaumbele sawa, lakini nahisi wanaume wamesahulika kusikilizwa.

Hizi mambo naona ndo zinachangia;
1. Kuuua wake zao
2. Kuchukia wanawake especially singlemoms
3. Kujiua wenyewe

Sasa Kwa niaba ya jamii na wanawake wenzangu tunaomba kuweni wazi ni vitu gani mnakereketwa navyo then hatuwasikilizi iwe nje ya ndoa, ndani ya ndoa, wanachuo na kijamii kiujumla.

Mie naamini Suluhu itapatikana.
 
Nahisi Kuna mambo mnapitia na yanawaumiza ila mmekosa pa kusemea..... wanawake tumepewa kipaumbele sawa,lakini nahisi wanaume wamesahulika kusikilizwa.....Hizi mambo naona ndo zinachangia :

1.kuuua wake zao
2:kuchukia wanawake especially singlemoms
3.kujiua wenyewe
4.nk......

Sasa Kwa niaba ya jamii na wanawake wenzangu tunaomba kuweni waz ni vitu gani mnakereketwa navyo then hatuwasikilizi ....iwe nje ya ndoa,ndani ya ndoa....wanachuo na kijamii kiujumla.
Mie naamini Suluhu itapatikana.
Suluhisho ni moja never ever take a woman serious at any time, utakuja kuumia mbeleni.
 
Nahisi Kuna mambo mnapitia na yanawaumiza ila mmekosa pa kusemea..... wanawake tumepewa kipaumbele sawa,lakini nahisi wanaume wamesahulika kusikilizwa.....Hizi mambo naona ndo zinachangia :

1.kuuua wake zao
2:kuchukia wanawake especially singlemoms
3.kujiua wenyewe
4.nk......

Sasa Kwa niaba ya jamii na wanawake wenzangu tunaomba kuweni waz ni vitu gani mnakereketwa navyo then hatuwasikilizi ....iwe nje ya ndoa,ndani ya ndoa....wanachuo na kijamii kiujumla.
Mie naamini Suluhu itapatikana.
Only us Mungu akubariki sana.. Una nafasi yako peponi.. Kama ukinipa location nitafanya jambo juu yako


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahisi Kuna mambo mnapitia na yanawaumiza ila mmekosa pa kusemea..... wanawake tumepewa kipaumbele sawa,lakini nahisi wanaume wamesahulika kusikilizwa.....Hizi mambo naona ndo zinachangia :

1.kuuua wake zao
2:kuchukia wanawake especially singlemoms
3.kujiua wenyewe
4.nk......

Sasa Kwa niaba ya jamii na wanawake wenzangu tunaomba kuweni waz ni vitu gani mnakereketwa navyo then hatuwasikilizi ....iwe nje ya ndoa,ndani ya ndoa....wanachuo na kijamii kiujumla.
Mie naamini Suluhu itapatikana.

Mwanaume kaumbwa kutatua matatizo yake na sio kuyasema, wewe kuwa mwema kwake inatosha
 
Nahisi Kuna mambo mnapitia na yanawaumiza ila mmekosa pa kusemea..... wanawake tumepewa kipaumbele sawa,lakini nahisi wanaume wamesahulika kusikilizwa.....Hizi mambo naona ndo zinachangia :

1.kuuua wake zao
2:kuchukia wanawake especially singlemoms
3.kujiua wenyewe
4.nk......

Sasa Kwa niaba ya jamii na wanawake wenzangu tunaomba kuweni waz ni vitu gani mnakereketwa navyo then hatuwasikilizi ....iwe nje ya ndoa,ndani ya ndoa....wanachuo na kijamii kiujumla.
Mie naamini Suluhu itapatikana.
Wanaume tunabeba mengi sanaa. Kitu ambacho wanawake hawakijui ni kutembea na mwanaume mwenzagu kunatia dharau kubwa ambayo haibebeki. Yani Bora ukasagane au ufe kuliko kunidhalilisha kias hiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom