Kuna kitabu unatafuta? - Nitafute!

LIBRARY

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2012
Posts
231
Reaction score
241
Haya haya wale wazee wa kupanua uelewa na kuongeza uwezo wa kifikra, Napenda kuwajuza kuwa nimeamua kuja kivingine kama Books library / Maktaba kuu. Kazi yangu mimi itakua ni kukutanisha na Vitabu mbalimbali, journals, Academic researches, Novels, comics na vijarida vingine vingi ambavyo vimeshawahi kuandikwa na watu mashuhuri Duniani.

You name it, we find it.

-Karibu
 
Sikunyongwa,
Mzee Hegal Karl Uroose, Kabwe Makanika "Jitu Kumbuka", Bi. Halima n.k.
 
nitafutie think big na the power of positive thinking
 
Mimi natafuta kitabu kitwacho MAZUNGUMZO YA ALFU LELA ILELA,MASHIMO YA MFALME SULEIMAN naomba yangu hii 0655200004
 
VP vya proposal writing unavyo au!
 
Vitabu nilivyo navyo kwa sasa ni vya kizungu tu. Maana ndio vinavyopatikana online kama soft copy.
 
Nitafutie HEKAYA ZA ABNUWAS ukikipata ni-PM
 
Nahitaji vitabu vya Harold Robbins... Kama unavo naomba niambie ni title gani unazo niagize asap.

Nahitaji kitabu ya Jeffery Archer cha 'Kane and Abel' na mwendelezo wake wa 'Prodical Daughter'

Niambie vya Mario Puzzo unavo title gani navo nahitaji...

Nahitaji pia vitabu vya Marian Keyes.
 
By Mario puzo - Godfather, Padrino
By Jeffery Archer - Kane and Abel, The Fourth Estate, Honor Among Thieves na As the crow flies
 
Natafuta "My Life In Crime" alikiandika jambazi mmoja Mkenya (John Baptista Wanjohi, better known by his pen name John Kiriamiti) nilikosoma zamani sana nikiwa Primary school sijapata kukiona kikiuzwa popote online.
 
Natafuta "My Life In Crime" alikiandika jambazi mmoja Mkenya, nilikosoma zamani sana nikiwa Primary school sijapata kukiona kikiuzwa popote online.

Aaah Kiranga I read that book too. I have a copy back home in Moshi
 
Ulivyokuja na mbwembwe niliogopa kinyama kumbe ni library ya wazungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…