Mimi navyojua ni majuzi tu hapa kulikuwa na joto kali, kwa mvua zilizonyesha na kubadili hali ya hewa lazma magonjwa ya kawaida kama kikohozi na mafua ambayo mara nyingi husindikizwa na homa lazma viwapate watu. Malaria pia sababu ya kuongezeka kwa mazalia ya mbu, Hiki kitu pia si kwa dar tu ni mikoa mingi, hali ya hewa ikibadilika mfano kipindi cha jua kali utakuta watu wana mafua sana na vikohozi sababu ya vumbi au kipindi cha mvua, waathirika wa malaria wanaongezeka. NI magonjwa ya msimu tu sidhani kama ni issue kubwa kama inavyokuzwa humu