Frank Hood
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 598
- 1,383
Hii kitu na mm imenipata,homa plus kaihoz kwa mbali
Hapa kwangu Mimi tu ndo nlipata chanjo ya Covid ya Jansen,mwanzoni kabisa,lakini Sasa muda huu Ni Mimi ndo Nina homa,wenzangu wote,wife na watoto hakuna mwenye homa yeyote
na ku sweti hatari
Exactly, joto la mwili linakuwa juu Sana, na kichwa kinauma pia
aisee kweli,yaani Panadol hazikufaa kitu,Ni rehema tu za MunguHata ukimeza panadol, inakusaidia kwa muda mfupi sana! Baada ya kitambo tu, homa inapanda tena!
dawa ni vaccination, mostly likely OMICRON ameishatia timu bongo.
Labda la kongoKwamba Dar kuna vumbi kuliko Dodoma ? Unaongelea Dar ya miaka ipi labda?
Doh....Labda la kongo
omicron hiyoHapo kwenye ku sweat hapo. Upande niliokuwa nalalia kwenye kitanda ulikuwa unakuwa kama umemwagiwa maji... Sijawahi kuona kitu kama hicho tangu nizaliwe.
Omicron hako ila hakana nguvu sana japo kinaenea sana juzi bibi mkubwa kaumwa tumepima vyote hakuna kitu tukajuwa kidudu kimevamia ila tujihadhari tu hakitishi sana kama lile baba lao la mwaka 2020.
Chanjo inaweza isizuie kupata kirusi lakini inaweza kuokoa maisha yako kwa kufanya ugonjwa usiwe mkali unapoupata. Kumbuka Omicron ni tofauti sana na wengine waliotangulia na chanjo ilikuwa ya hao waliotangulia.
Mkuu naomba uzoefu wako ulitumia nini maana niko katika hali ngumu tangu jana jioni naumwa sana
Mafua makali
Kikohozi
Mwili unauma
Kichwa kinauma
Usiku nimetokwa jasho sana
Nameza paracetamol lakini zinanipa nafuu ya muda mfupi tu
Kwenda hospital naogopa nisijekubeba vingine kuleta nyumbani
Ni hatari sana hii una swet mpaka nguo zinaloa kabisaHapo kwenye ku sweat hapo. Upande niliokuwa nalalia kwenye kitanda ulikuwa unakuwa kama umemwagiwa maji... Sijawahi kuona kitu kama hicho tangu nizaliwe.
Umetumia dawa ganiNi kweli hata mimi nimeugua hyo Hali na kubanwa kifua na mafua makali, thank God nimepona nilivoenda hospital nilivokuta Kuna wagonjwa wanashindwa kupumua niligeuza nduki nika ghairi kupima kabisa.
Ondokeni mjini,njooni huku bush muishi kwa amanidawa ni vaccination, mostly likely OMICRON ameishatia timu bongo.