Zainab j
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,816
- 2,372
nikweli, Mimi hapa nna mafua makali na home Kali, hapa natumia AZUMA,na naona pia wengi limewapata Hilo tatizo mtaaniHivi mmeliona hilo?Kuna hali fulani kama mlipuko wa homa na mafuta kila mahali katika jiji la Dar es Sallam