balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,720
- 15,462
Nilitegemea koment hiiIla watu wa daslamu kwa kudeka Chaeeeeei!!
Kwahiyo mnaitana mfarijiane ?
Nilitegemea koment hiiIla watu wa daslamu kwa kudeka Chaeeeeei!!
Kwahiyo mnaitana mfarijiane ?
Kwamba Dar kuna vumbi kuliko Dodoma ? Unaongelea Dar ya miaka ipi labda?Sasa vumbi lote hilo mtakosaje kuwa na mafua?
Endeleeni kula vumbi
Dar Kuna mvua mkuu, hafu haya mafua mabaya unabanwa kifua na homa kuwa Kali sana aisee na kulegea mwilini, nadhani huu ni upepo mchafu umepitaSasa vumbi lote hilo mtakosaje kuwa na mafua?
Endeleeni kula vumbi
Aise ilinitandika kunywa panadol na mseto siku tatu nikapata nafuu na wikiendi nikapiga vyombo hadi asubuhi.Dooh kumbe tuko wengi, weekend hii ilikuwa pata shika, joto limepanda panadol haijafua dafu, J3 nauliza walevi wenzangu walikulaje bata kila mmoja anasema alikuwa anaumwa homa /mafua mkali.
Mungu ni mwema itapita tu
Ndio ngoma inarudi hio!! 3rd wave Omicron. Sema hii haitishi sana. Wameteleza kwenye formula.
Nakumbuka 2019 miezi ya mwishoni Kama hiihii zilikuja post kama hizi hizi humu JF kabla mamlaka zozote Afrika hazijajua chochote kuhusu Corona.
Nikiwa kama mtaalam wa magonjwa ambukizi niliona JF ilitisha sana na vyombo yetu vya ku monitor AFYA ya jamii ni vya hovyo kabisa.
Amenishtua kwakweli!!Mafua makali !!! Edit hapo
Acha tu, naugulia kitandan, ile nimepiga pen V Na pain killer naona nimekaa sawaHivi mmeliona hilo?Kuna hali fulani kama mlipuko wa homa na mafuta kila mahali katika jiji la Dar es Sallam