TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,751
- 21,204
Amani muswano.
Tupo chungu cha tano leo ndugu zangu ni kasi ya ajabu sana hii.
Nafuatilia siasa za jirani zetu hapo Kenya, kuna mambo yanafanyika siyo ya kistaarabu kwa kweli.
Naona huyu mujamaa makamu wa Rais ndg Rigathi Gachagua hana furaha anapoona wakenya wana amani.
Leo bana kuna shamba la miti lipo eneo la Northlands inasemekana ni la familiai ya Uhuru, sasa huyo makamu wa Rais katuma convoy ya watu wake na watu anaowajua yeye wamevamia na kuanza kukata ovyo miti.
Hilo siyo jambo zuri kwa kiongozi mkubwa wa kitaifa kufanya ubaya unaoonekana kwa raia kuna baadhi ya wakenya wanasema huyu jamaa anataka kufanya kama mapigano ya kikabila ya mwaka 1992.
Kama jirani mwema tu hapa ambaye jeshi letu la police linasifiwa kwa kutenda wema likija kunikamata nasema ndg makamu wa Rais Gachagua hicho unachokifanya hakikubariki.
STOP IT!.
Tupo chungu cha tano leo ndugu zangu ni kasi ya ajabu sana hii.
Nafuatilia siasa za jirani zetu hapo Kenya, kuna mambo yanafanyika siyo ya kistaarabu kwa kweli.
Naona huyu mujamaa makamu wa Rais ndg Rigathi Gachagua hana furaha anapoona wakenya wana amani.
Leo bana kuna shamba la miti lipo eneo la Northlands inasemekana ni la familiai ya Uhuru, sasa huyo makamu wa Rais katuma convoy ya watu wake na watu anaowajua yeye wamevamia na kuanza kukata ovyo miti.
Kama jirani mwema tu hapa ambaye jeshi letu la police linasifiwa kwa kutenda wema likija kunikamata nasema ndg makamu wa Rais Gachagua hicho unachokifanya hakikubariki.
STOP IT!.