Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,524
Lisemwalo lipo na kama lipo basi linakuja ni kwamba pale ikulu ya tanzania kuna nini ambacho mpaka damu za watanzania zimemwaga kwa ubavu mkubwa.
Je vikosi vilivyoombwa na kashafa kuwa wametoka uganda walikuja kwa ajili ya mslahi ya nani?.
Tunajua mradi mkubwa wa mafuta umepita hapa na kwa nini kashfa hapewe raisi mseveni kuleta vikosi tanzania ?.
Kulinda mradi na walaji ambao wamejimilikishia mikataba ambayo itawavurugia ugali wao pale ikulu.
Je vikosi vilivyoombwa na kashafa kuwa wametoka uganda walikuja kwa ajili ya mslahi ya nani?.
Tunajua mradi mkubwa wa mafuta umepita hapa na kwa nini kashfa hapewe raisi mseveni kuleta vikosi tanzania ?.
Kulinda mradi na walaji ambao wamejimilikishia mikataba ambayo itawavurugia ugali wao pale ikulu.