Nafikahedi
Member
- Mar 7, 2015
- 61
- 22
Naomba kuelewa juu ya hili kwani kuna rafiki yangu kaachana na baba watoto wake, cha kushangaza mwenzie kamnunia hata akimtumia massege ya kawaida kabisa kuhusu watoto hajibu wala simu hapokei na mwenzie ndiye aliyebaki na watoto.
IeIeweke rafiki yangu huyo hampigii kuomba warudiane na ana amani kabisa lakini mwenzie kajenga uadui kabisa. Kwani haiwezekani kuachana na mkawa na amani tu huku kila mtu akiendelea na mambo yake.
Naomba tujadili
IeIeweke rafiki yangu huyo hampigii kuomba warudiane na ana amani kabisa lakini mwenzie kajenga uadui kabisa. Kwani haiwezekani kuachana na mkawa na amani tu huku kila mtu akiendelea na mambo yake.
Naomba tujadili