Kuna haja ya kumuomba Hayati Dkt. Magufuli msamaha; kama taifa kuna sehemu tumekosea sana

Aombewe msamaha kwa kuipeleka nchi kwenye uchumi wa kati? Utakuwa huna akili wewe.Nadhani kama taifa hususan vyama vya upinzani vinapaswa kuwaomba msamaha wale wote waliopambana kwa hali na damu kuileta Tanzania bora kama ilivyo mpaka wakati anafariki Dr.Magufuli.Hii itasaidia kuondoa majeraha kwa wale walioumia na kufariki kwake na kuliponya taifa kiujumla dhidi ya laana kwa maneno yao ya kejeli kwa hayati kwani baadhi ya laana hizo zimeshaanza kuonekana.
Ni Ushenzi tu Umeandika.....
 
Habari wakuu,

Kuna baadhi ya watu maarufu na wasiokuwa maarufu kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakionyesha chuki za wazi dhidi ya awamu ya tano pamoja na viongozi wake. Mbaya zaidi walifika hatua ya kutaka kusahaulisha 'Legacy' na kazi kubwa sana iliyofanywa na awamu ya tano.

Kwa siku kadhaa wakosoaji hao wameshuhudia wimbi kubwa la ujambazi, ubadhirifu, uzembe kwa baadhi ya viongozi, hali ya uchumi kuzidi kudorora, Matumizi mabaya ya rasilimali za umma, hakuna miradi mipya iliyoibuliwa zaidi ya kukamilisha ile ya awamu ya tano na mengineyo mengi ndani ya muda mfupi.

Hakuna uongozi usiokuwa na mapungufu lakini ni wazi kwamba uongozi wa awamu ya tano ulifanya mambo makubwa sana yaliyowagusa Watanzania wa hali zote. Mapungufu ya awamu ya tano yalikuwa na nafuu kuliko mapungufu ya awamu yoyote ile na haya yanaanza kujidhihirisha pia katika awamu hii. Asilimia 100 ya waliokuwa wanapinga juhudi za awamu ya tano japo hawapo tayari kukubaliana na ukweli lakini wengi mioyoni mwao wanajutia na wanatubu baada ya kuanza kujionea utofauti ila wanaogopa kukiri na kuomba msamaha.

Kwa haya machache tunayo kila sababu kama taifa kuwaombea msamaha kwa Mungu na kwa jamii wale wote waliokosoa awamu ya tano kwa nia mbaya ili kuondosha laana ambayo kama taifa itaweza kuipata.
Kwa kweli
 
Legacy aliyoacha Magufuli ni hii hapa:

1. Kuondoka duniani wakati hahitajiki.

2. Kuteka wapinzani pamoja na wakosoaji wake kama akina Azory Gwanda ili yeye ajihakikishie kutawala milele.

3. Kutesa wapinzani wake kwa kuwaweka ndani kila siku kwa kesi fake ambazo hazina dhamana.

4. Kuua wapinzani wake na wakosoaji wake kama akina Ben saanane na kuwapiga wapinzani wake risasi kama ilivyokuwa kwa Tindu Lissu.

5. Kuua uhuru wa vyombo vya habari.

6. Kuua uhuru wa kujieleza kwa wananchi kama vile kufungia mitandao ya kijamii kama twitter na kukamata wanaotumia mitandao mingine kumkosoa.

7. Kuiba kura kwa kutumia Polisi,jeshi,TISS pamoja na tume ya uchaguzi.

8. Kuua biashara za watu kupitia sera mbovu za uchumi.

9. Kudanganya katika takwimu za ukuaji wa uchumi wa nchi.

10. Kuweka mihimili yote mitatu mfukoni mwake,yaani mhimili wa urais,bunge na mahakama.

11. Kuua uchumi wa nchi kupitia sheria mbovu za uwekezaji.

12. Kuua watu kwa Corona kupitia leadership negligence.

13.Udini:Alipenda sana kwenda kunadi sera zake za kisiasa makanisani.

14. Ukabila kwa kuhamishia rasilimali nyingi za nchi katika wilaya ya Chato na kujaza wasukuma serikalini.

15. Ukanda kwa kupeleka SGR mwanza wakati siyo economic viable zone.

16. Ubaguzi wa rangi kwa kuwakandia wanawake weusi.Imagine mtu anafanya ubaguzi wa rangi karne ya 21!Is this not insane?

17. Kugandamiza demokrasia kwa kukataza vyama vya upinzani kufanya siasa wakati CCM kufanya siasa ni ruksa.

18. Kunyanyasa malaika-watoto wa kike wasirudi shule wakipata mimba.

19. Ufisadi wa kutisha kwa kufanya miradi mikubwa bila budget kupita bungeni.

20. Wizi wa kutisha wa mali ya uma kupitia kampuni yake ya Mayanga constructions LTD.Mfano uwanja wa Chato umetengenezwa na kampuni hii bila tenda kuitwa.

21. Kubambikizia kesi za kuhujumu uchumi wapinzani wake nchi nzima na kuwatupa korokoroni bila dhamana.

22. Kugushi report ya CAG ya hasara za mabilion za ndege za ATCL na kuilazimisha ATCL watoe gawio fake kwa serekali.

23 Kupora utajiri halali na wa jasho wa matajiri wa Tanzania kwa kuwabambikizia kesi fake za kuhujumu uchumi na kuwalazimisha wakiri makosa ya uwongo kisha kuwafilisi mali zao.

24. Ufisadi na wizi wa kutisha kama ulivyoibuliwa na CAG mara baada ya dikteta kufa.

Huyu mtu kaburi lake linapaswa kufukuliwa na atandikwe viboko.
Mungu akusaidie. Akuondolee hii chuki moyoni mwako. Maana hujui ulitendalo bali chuki ndo inaongoza akili yako.
 
Mungu akusaidie. Akuondolee hii chuki moyoni mwako. Maana hujui ulitendalo bali chuki ndo inaongoza akili yako.
Mwenye chuki ni Magufuli ambae alikuwa anatukana Watanzania wa Mungu kuwa wabaki na mavi yao nyumbani.Wewe inaonekana kichwani kwako kuna kipande kikubwa sana cha ujinga wa kutokufuatilia masuala ya nchi hii.
 
Habari wakuu,

Kuna baadhi ya watu maarufu na wasiokuwa maarufu kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakionyesha chuki za wazi dhidi ya awamu ya tano pamoja na viongozi wake. Mbaya zaidi walifika hatua ya kutaka kusahaulisha 'Legacy' na kazi kubwa sana iliyofanywa na awamu ya tano.

Kwa siku kadhaa wakosoaji hao wameshuhudia wimbi kubwa la ujambazi, ubadhirifu, uzembe kwa baadhi ya viongozi, hali ya uchumi kuzidi kudorora, Matumizi mabaya ya rasilimali za umma, hakuna miradi mipya iliyoibuliwa zaidi ya kukamilisha ile ya awamu ya tano na mengineyo mengi ndani ya muda mfupi.

Hakuna uongozi usiokuwa na mapungufu lakini ni wazi kwamba uongozi wa awamu ya tano ulifanya mambo makubwa sana yaliyowagusa Watanzania wa hali zote. Mapungufu ya awamu ya tano yalikuwa na nafuu kuliko mapungufu ya awamu yoyote ile na haya yanaanza kujidhihirisha pia katika awamu hii. Asilimia 100 ya waliokuwa wanapinga juhudi za awamu ya tano japo hawapo tayari kukubaliana na ukweli lakini wengi mioyoni mwao wanajutia na wanatubu baada ya kuanza kujionea utofauti ila wanaogopa kukiri na kuomba msamaha.

Kwa haya machache tunayo kila sababu kama taifa kuwaombea msamaha kwa Mungu na kwa jamii wale wote waliokosoa awamu ya tano kwa nia mbaya ili kuondosha laana ambayo kama taifa itaweza kuipata.
Kayafa mwendazake umuombe msamaha anakusikia? Kashajifia zake.
Tena kama ingekua wafu wanasikia yeye ndo ingebidi atuombe msamaha.
Acha utopolo.
 
Habari wakuu,

Kuna baadhi ya watu maarufu na wasiokuwa maarufu kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakionyesha chuki za wazi dhidi ya awamu ya tano pamoja na viongozi wake. Mbaya zaidi walifika hatua ya kutaka kusahaulisha 'Legacy' na kazi kubwa sana iliyofanywa na awamu ya tano.

Kwa siku kadhaa wakosoaji hao wameshuhudia wimbi kubwa la ujambazi, ubadhirifu, uzembe kwa baadhi ya viongozi, hali ya uchumi kuzidi kudorora, Matumizi mabaya ya rasilimali za umma, hakuna miradi mipya iliyoibuliwa zaidi ya kukamilisha ile ya awamu ya tano na mengineyo mengi ndani ya muda mfupi.

Hakuna uongozi usiokuwa na mapungufu lakini ni wazi kwamba uongozi wa awamu ya tano ulifanya mambo makubwa sana yaliyowagusa Watanzania wa hali zote. Mapungufu ya awamu ya tano yalikuwa na nafuu kuliko mapungufu ya awamu yoyote ile na haya yanaanza kujidhihirisha pia katika awamu hii. Asilimia 100 ya waliokuwa wanapinga juhudi za awamu ya tano japo hawapo tayari kukubaliana na ukweli lakini wengi mioyoni mwao wanajutia na wanatubu baada ya kuanza kujionea utofauti ila wanaogopa kukiri na kuomba msamaha.

Kwa haya machache tunayo kila sababu kama taifa kuwaombea msamaha kwa Mungu na kwa jamii wale wote waliokosoa awamu ya tano kwa nia mbaya ili kuondosha laana ambayo kama taifa itaweza kuipata.

Kwa jamii forum ya siku hizi nyuzi za namna hii utaishia kutukanwa tu

wadau wamekaa kiushabiki sana kuliko ukweli

over
 
Magufuli mnamuita dikteta, katili, dhalimu, muuaji kwa sababu ya kuwashughulikia ipasavyo mafisadi, wakwepa kodi, wauza madawa, vyeti feki, wafanya kazi hewa, vibaraka wa mabeberu na nk.

kama magufuli mnamuita dikteta kwa sababu ya kuua na kuteka basi kikwete na mkapa ni madikteta zaidi yake sababu wao wameteka na kuuwa watu wengi zaidi yake wakiwa madarakani.
Na amewasulubu barabara mafisadi na wapinzani uchwara
HEKO MAGUFULI,mi mshabiki wako
 
Aombewe msamaha kwa kuipeleka nchi kwenye uchumi wa kati? Utakuwa huna akili wewe.Nadhani kama taifa hususan vyama vya upinzani vinapaswa kuwaomba msamaha wale wote waliopambana kwa hali na damu kuileta Tanzania bora kama ilivyo mpaka wakati anafariki Dr.Magufuli.Hii itasaidia kuondoa majeraha kwa wale walioumia na kufariki kwake na kuliponya taifa kiujumla dhidi ya laana kwa maneno yao ya kejeli kwa hayati kwani baadhi ya laana hizo zimeshaanza kuonekana.
Rais Samia anadanganya kusema uchumi umeshuka????
 
Mods ondoeni huu ujinga basi au? Mnafanya jf inashuka Hadhi kwa kuweka mijadala ya kijinga
 
Habari wakuu,

Kuna baadhi ya watu maarufu na wasiokuwa maarufu kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakionyesha chuki za wazi dhidi ya awamu ya tano pamoja na viongozi wake. Mbaya zaidi walifika hatua ya kutaka kusahaulisha 'Legacy' na kazi kubwa sana iliyofanywa na awamu ya tano.

Kwa siku kadhaa wakosoaji hao wameshuhudia wimbi kubwa la ujambazi, ubadhirifu, uzembe kwa baadhi ya viongozi, hali ya uchumi kuzidi kudorora, Matumizi mabaya ya rasilimali za umma, hakuna miradi mipya iliyoibuliwa zaidi ya kukamilisha ile ya awamu ya tano na mengineyo mengi ndani ya muda mfupi.

Hakuna uongozi usiokuwa na mapungufu lakini ni wazi kwamba uongozi wa awamu ya tano ulifanya mambo makubwa sana yaliyowagusa Watanzania wa hali zote. Mapungufu ya awamu ya tano yalikuwa na nafuu kuliko mapungufu ya awamu yoyote ile na haya yanaanza kujidhihirisha pia katika awamu hii. Asilimia 100 ya waliokuwa wanapinga juhudi za awamu ya tano japo hawapo tayari kukubaliana na ukweli lakini wengi mioyoni mwao wanajutia na wanatubu baada ya kuanza kujionea utofauti ila wanaogopa kukiri na kuomba msamaha.

Kwa haya machache tunayo kila sababu kama taifa kuwaombea msamaha kwa Mungu na kwa jamii wale wote waliokosoa awamu ya tano kwa nia mbaya ili kuondosha laana ambayo kama taifa itaweza kuipata.
Haya ingia bafuni ufute machozi... unawe na maji
 
Back
Top Bottom