Inategemea na anayekupa lift na wewe kipato chenu!Naomba kuuliza kwa Wadau.
Hivi kuna haja ya mtu anaye kupa lift (Msaada wa usafiri kwenye gari) kila siku kuchangia mafuta kwenye gari lake, ..!?
Au unatakiwa uuchune uwe Shock absorber tu kwenye gari la watu..!!
Akienda peke yake inakuwaje?;Yaani kunipa lift mimi consumption ya mafuta inaongezeka!Anipe tuu lift nikinunua la kwangu nae nitampa lift.Inabidi uchangie tu hata kidogo au upande bayankata. Anaweza kuwa anaumia ila hawezi kukuambia.
Na wewe ukienda peke yako itakuwaje?Akienda peke yake inakuwaje?;Yaani kunipa lift mimi consumption ya mafuta inaongezeka!Anipe tuu lift nikinunua la kwangu nae nitampa lift.
Roho mbaya hiyo,hadi bima?NDIO.
Au uchangie na Insurance kabisa na hata mengineyo
Pandemic ???simu yako mpyaaa?Pandemic daladala au nunuen magari