Huu wizi wa LATRA 15,000 kama hela ya ulinzi kwa siku haukubaliki

witzone2

JF-Expert Member
Jan 14, 2022
780
1,636
LATRA Kuna wizi wa 15,000 kama fine ya ulinzi Kwa siku kwenye yard Yao ya nyamhongoro haukubaliki. Unalipa fine zote unaambiwa ukachukue gari, ukifika Kwa walinzi wanakuambia Hela ya ulinzi Kwa siku ni 15,000. Yaani ukamate gari halafu mwenye gari ndo akalipie Hela ya ulinzi. Huu ni wizi kama wizi mwingine.

Niliwapigia makao makuu wakanambia hakuna kitu kama hicho. Sasa Leo naenda Tena. Ili wanambie Hela hiyo ni ya Nini. Gari imelazwa siku 14 naambiwa nilipe 210,000 eti ya ulinzi.

Mbona polisi huwa wakikamata gari hata ikae mwaka hakuna Cha Hela ya ulinzi. Sasa hivi Kila mtu ameamua kuwa jambazi Kwa kutuibia wananchi. Hii haikubaliki kwangu aisee.
 
Usitumie nguvu utakosa haki yako ya msingi, hao jamaa wana utaratibu mmbovu seheku nyingi sanaaa, ipo hivi

Ukienda temeke kulipia piki piki unatoa sh 17000 eflu.

Ukienda ilala pale kuna fom ya kujaza sh 5000 alafu kama ww sio mmiliki wa chombo hauwezi kulipia mpaka aje mmiliki halali, ukienda kinondoni mlinzi anakuambia mpe kadi yako na pesa anaweza kukuambia hata 30000, yaani hakuna utaratibu mzuli.

Hiyo kukamata chombo cha usafili na kulipia sh 15000 ni wao wamejiwekea, unatakiwa uwe makini sana.

Kuna sheria za kiofic ambazo ofic kuu hazizitambui lkn hazizipingi, ukifikisha swala lako kule wao wakisema ndio utaratibu wao lazima ulipe.

Mfnao wa sheria za miji ambazo hazitambuliki, lkn sherii hii ndogo ya mji ukiivunja na ukapelekwa mahakamani hata haitambuliki viongozi wa eneo husika wakasema ni sheri yao wamepanga na imepitishwa na inatumia unaingia hatian, kuwa makini, juu ya hili.
 
Usitumie nguvu utakosa haki yako ya msingi, hao jamaa wana utaratibu mmbovu seheku nyingi sanaaa, ipo hivi

Ukienda temeke kulipia piki piki unatoa sh 17000 eflu,

Ukienda ilala pale kuna fom ya kujaza sh 5000 alafu kama ww sio mmiliki wa chombo hauwezi kulipia mpaka aje mmiliki halali, ukienda kinondoni mlinzi anakuambia mpe kadi yako na pesa anaweza kukuambia hata 30000, yaani hakuna utaratibu mzuli,

Hiyo kukamata chombo cha usafili na kulipia sh 15000 ni wao wamejiwekea, unatakiwa uwe makini sana,

Kuna sheria za kiofic ambazo ofic kuu hazizitambui lkn hazizipingi, ukifikisha swala lako kule wao wakisema ndio utaratibu wao lazima ulipe.

Mfnao wa sheria za miji ambazo hazitambuliki , lkn sherii hii ndogo ya mji ukiivunja na ukapelekwa mahakamani hata haitambuliki viongozi wa eneo husika wakasema ni sheri yao wamepanga na imepitishwa na inatumia unaingia hatian, kuwa makini, juu ya hili ,
Hii unayoitetea haipo kisheria. Make yard ni ya kwao. Na nimewasiliana makao makuu wamenambia hakuna kitu kama hicho. Hawa wamejitungia tu na ni Hela Yao ya wizi
 
LATRA Kuna wizi wa 15,000 kama fine ya ulinzi Kwa siku kwenye yard Yao ya nyamhongoro haukubaliki. Unalipa fine zote unaambiwa ukachukue gari, ukifika Kwa walinzi wanakuambia Hela ya ulinzi Kwa siku ni 15,000. Yaani ukamate gari halafu mwenye gari ndo akalipie Hela ya ulinzi. Huu ni wizi kama wizi mwingine.

Niliwapigia makao makuu wakanambia hakuna kitu kama hicho. Sasa Leo naenda Tena. Ili wanambie Hela hiyo ni ya Nini. Gari imelazwa siku 14 naambiwa nilipe 210,000 eti ya ulinzi.

Mbona polisi huwa wakikamata gari hata ikae mwaka hakuna Cha Hela ya ulinzi..
Sasa hivi Kila mtu ameamua kuwa jambazi Kwa kutuibia wananchi. Hii haikubaliki kwangu aisee
haukubaliki kwa nani, unafikiri nani amekutunzia? Lipa pesa halali ya serikali acha kulialia humu
 
Usitumie nguvu utakosa haki yako ya msingi, hao jamaa wana utaratibu mmbovu seheku nyingi sanaaa, ipo hivi

Ukienda temeke kulipia piki piki unatoa sh 17000 eflu,

Ukienda ilala pale kuna fom ya kujaza sh 5000 alafu kama ww sio mmiliki wa chombo hauwezi kulipia mpaka aje mmiliki halali, ukienda kinondoni mlinzi anakuambia mpe kadi yako na pesa anaweza kukuambia hata 30000, yaani hakuna utaratibu mzuli,

Hiyo kukamata chombo cha usafili na kulipia sh 15000 ni wao wamejiwekea, unatakiwa uwe makini sana,

Kuna sheria za kiofic ambazo ofic kuu hazizitambui lkn hazizipingi, ukifikisha swala lako kule wao wakisema ndio utaratibu wao lazima ulipe.

Mfnao wa sheria za miji ambazo hazitambuliki , lkn sherii hii ndogo ya mji ukiivunja na ukapelekwa mahakamani hata haitambuliki viongozi wa eneo husika wakasema ni sheri yao wamepanga na imepitishwa na inatumia unaingia hatian, kuwa makini, juu ya hili ,
BS. Akomae. Ikiwezekana hadi mahakamani. Mahakama ndiyo itaamua uhalali wa taraibu hizo.
 
Back
Top Bottom